Tanzania not ready kwa Soko la EAC

Status
Not open for further replies.
But also, sijaliona kama suala la woga kwa Tanzania. Kwa Muungano si suala la hiari? Sisi tulichelewa na kuahirisha maendeleo yetu, tulijotoa mhanga, muda na mali zetu kukomboa nchi za kusini mwa afrika na nyingine zilizokuwa zinakandamizwa. Wakati sisi tukigoma kufanya biashara na makaburu, na wengine kama wao, Kenya walifanya mchana kweupe! Hawa wali-support ubaguzi wa rangi dhidi ya waafrika kama wao. Je ni watu wa kuamini na kuishi nao hawa. Kwanza utamaduni wetu hauko compatible! Baada ya miaka yote hiyo ya hasara, je tunalazimika kupelekwa mbio na watu ambao tulikuwa tuko milengo miwili tofauti. Nadhani si suala la biashara peke yake, kuna zaidi! Smatta, uache watu watoe maduku duku yao, siyo kusema unachukiwa. Lugha huwa ina vionjo pia, kwa hiyo take it easy, watu wakupe vidonge, ukishindwa kumeza viteme. Isn't this a forum where we dare to talk openly! Mi umenitukana ila sijali, cha msingi ni kile ninachosimamia! Hivyo ni vionjo tu.
 
But also, sijaliona kama suala la woga kwa Tanzania. Kwa Muungano si suala la hiari? Sisi tulichelewa na kuahirisha maendeleo yetu, tulijotoa mhanga, muda na mali zetu kukomboa nchi za kusini mwa afrika na nyingine zilizokuwa zinakandamizwa. Wakati sisi tukigoma kufanya biashara na makaburu, na wengine kama wao, Kenya walifanya mchana kweupe! Hawa wali-support ubaguzi wa rangi dhidi ya waafrika kama wao. Je ni watu wa kuamini na kuishi nao hawa. Kwanza utamaduni wetu hauko compatible! Baada ya miaka yote hiyo ya hasara, je tunalazimika kupelekwa mbio na watu ambao tulikuwa tuko milengo miwili tofauti. Nadhani si suala la biashara peke yake, kuna zaidi! Smatta, uache watu watoe maduku duku yao, siyo kusema unachukiwa. Lugha huwa ina vionjo pia, kwa hiyo take it easy, watu wakupe vidonge, ukishindwa kumeza viteme. Isn't this a forum where we dare to talk openly! Mi umenitukana ila sijali, cha msingi ni kile ninachosimamia! Hivyo ni vionjo tu.

This is where you lie to your selves, the southern Africa issue, you were not forced to do what you did to help them, so this should not be an excuse to try and forcefully woo yourself to their laps. Develop your own country, stop this- its better to join with the South- talk.

I am not, and should not be quoted as talking on behalf of Kenyans, am talking for myself because I have lived amongst Tanzanians and I know what am talking about. Kanyabuoya talks on behalf of many Tanzanians, coz this is how they feel about us, Kenyans are not comfortable driving vehicles with Kenyan plate numbers in Tanzania, ask yourself why, whilst Tanzanians drive their cars comfortably in kenya. Its a sad fact that the neighbors we share alot of history and culture and whatever, hate us so much..
 
Smatta,

Ndugu yangu tunawapenda sana: Wakenya wengi wazuri tu: na baadhi ya wadada warembo sana..nilipata demu wa Kiluo alikuwa mstaarabu sana na mrembo!

Tu ndugu moja!
 
Smatta,

Ndugu yangu tunawapenda sana: Wakenya wengi wazuri tu: na baadhi ya wadada warembo sana..nilipata demu wa Kiluo alikuwa mstaarabu sana na mrembo!

Tu ndugu moja!

Niaje mtu wangu, siku mob joh, umepotelea wapi?

I know that we brothers mayn, I dont hate anyone especially because of his country of origin, thats just dumb.
I love Tanzanians, thats why am stuck in this forum. Na pia nina mdada mpare mrembo sana, na labda ntakuja oana naye siku moja. We family whether we like it or not.

Enjoy your day homes.
 
Niaje mtu wangu, siku mob joh, umepotelea wapi?

I know that we brothers mayn, I dont hate anyone especially because of his country of origin, thats just dumb.
I love Tanzanians, thats why am stuck in this forum. Na pia nina mdada mpare mrembo sana, na labda ntakuja oana naye siku moja. We family whether we like it or not.

Enjoy your day homes.

Smatta,

Nipo tu ndugu- ni shughuli tu za hapa na pale zimenitinga!

Za Nairobi? Au Uko dar? Au Upareni? Ha ha ha!!!
 
Niaje mtu wangu, siku mob joh, umepotelea wapi?

I know that we brothers mayn, I dont hate anyone especially because of his country of origin, thats just dumb.
I love Tanzanians, thats why am stuck in this forum. Na pia nina mdada mpare mrembo sana, na labda ntakuja oana naye siku moja. We family whether we like it or not.

Enjoy your day homes.

Smatta, no matter what few of us in this forum, the fact will remain that Tanzania and Kenya are connect, we love each other. And the good thing is, we can choose friends but we can not choose neighbors and relatives. Hatuwezi kukwepana hata kidogo, lakini ni lazima tuhakikishe kuwa tunaposhirikiana tuwe na ushirikiano wa kujengana na kunufaishana na sio wa kubomoa upande mmoja.
 
Sasa naona ni masuala ya ushemeji. Kuhusu bondeni, hayo ni masuala ya wahusika wawili, hazuiwi mtu, they can give each other irrespective of nationalities. Hapa tunatoa maoni kuhusu masuala ya the so called EAC. Si masuala ya kuchukia majirani, hakuna nchi tolerant na wageni kama TZ hii. Kenyans have been in TZ since time immemorial.., kwanza tukitafuta watanzania hapa maybe tuko 75%, ukiachlia mbali hata ile ya kusema kuwa wa mipakani si waTZ.
 
Smatta, no matter what few of us in this forum, the fact will remain that Tanzania and Kenya are connect, we love each other. And the good thing is, we can choose friends but we can not choose neighbors and relatives. Hatuwezi kukwepana hata kidogo, lakini ni lazima tuhakikishe kuwa tunaposhirikiana tuwe na ushirikiano wa kujengana na kunufaishana na sio wa kubomoa upande mmoja.

I Respect you for that, we siblings, though we fight we are bound by blood. thanx BongoL.
 
But also, sijaliona kama suala la woga kwa Tanzania. Kwa Muungano si suala la hiari? Sisi tulichelewa na kuahirisha maendeleo yetu, tulijotoa mhanga, muda na mali zetu kukomboa nchi za kusini mwa afrika na nyingine zilizokuwa zinakandamizwa. Wakati sisi tukigoma kufanya biashara na makaburu, na wengine kama wao, Kenya walifanya mchana kweupe! Hawa wali-support ubaguzi wa rangi dhidi ya waafrika kama wao. Je ni watu wa kuamini na kuishi nao hawa. Kwanza utamaduni wetu hauko compatible! Baada ya miaka yote hiyo ya hasara, je tunalazimika kupelekwa mbio na watu ambao tulikuwa tuko milengo miwili tofauti. Nadhani si suala la biashara peke yake, kuna zaidi! Smatta, uache watu watoe maduku duku yao, siyo kusema unachukiwa. Lugha huwa ina vionjo pia, kwa hiyo take it easy, watu wakupe vidonge, ukishindwa kumeza viteme. Isn't this a forum where we dare to talk openly! Mi umenitukana ila sijali, cha msingi ni kile ninachosimamia! Hivyo ni vionjo tu.

Hivi Watanzania tunaelewa tunachokizungumza? Kwa nini kutambua ukweli wa maisha katika dunia ya leo? Kwa nini tunaelekeza hasira za matatizo yetu kwa wakenya? Kwa nini tunashindwa kufahamu kuwa ufumbuzi wa tatizo letu umo ndani serikali yetu? Kila baada ya miaka 5 wananchi tunapata fursa ya kuunda serikali mpya; hatutaki kuwajibika! Tunafanya nini kuikabili seriakali yetu? Tubebe mizigo yetu weneyewe; tumewaamini na kuwachagua vibaka badala ya viongozi, sasa tunajuta! Tuache bla-bla, mwaka kesho uchaguzi. Amua kuchagua viongozi bora kupitia vyama bara (kama havipo vitengeneze wenyewe, siyo kuwalalamikia watu wa nje.
Ndiyo, Tanzania ilisusia makaburu, lanini ilikuwa wajibu wa serikali yetu kutambua fursa na kushirikisha watanzania katika fursa hizo kutoka Afrika Kusini mpya; wamefanya nini? Siyo kula njama za kuwauzia makaburu hao hao madini, viwanda na benki yetu kuwa, NBC? Sasa hili ni kosa la wakenya? Serikali ya Afrika Kusini Tangu awali, kwa kutambua mchango wa Tanzania kwa uhuru wake, lakini na umuhimu wa Kenya kwa biashara na uchumi, iliamua kuondoa visa kwa wa-Tanzania na wa-Kenya wanaokwenda Afrika Kusini. Lakini la kushangaza serikali yetu ilikataa, ikisema watanzania wanaokwenda bondeni waendelee kulipa visa ili kuchangia gharama za ubalozi wetu huko (mnajua alichokifanya Ami Mpungwe?). Kenya walikubali na kutumia fursa hiyo kwenda kufanya biashara na wana wa Madiba. Sasa utalalamikiaje wa-Kenya kushirikiana na Afrika Kusini?
Uswahili hauwezi kutufikisha popote!
 
Muda mzuri wa kuungana na Kenya ni wakati watakapoacha kuuana kama Kima. (Hata mwaka haujaisha walikuwa kwenye mauaji ya kikatili) Leo ati Kenya wanataka kutuchagulia cha kufanya? Ni viwanda vipi wanavyoringia? Uchumi wa Kenya uko controlled na majority British citizens wao waendelee kuota tu na kuwa watumwa wa waingireza. Mtu mzima na akili yako unakuwa huna lugha ya kujivunia na kukumbatia rangi, angalia Japan, China, Sweeden, pamoja na nchi nyingi za ulaya wanajivunia lugha zao. Hebu niambie Kenya mnajivunia nini mungiki? We Smata ushukuru watanzania wanakukarimu na kaji kazi kako hako unakoringia, leo hii ukiambiwa urudi kwenu hutaki? Ukumbuke unapata hiyo kwa kuziba nafasi ya mtanzania na kumbuka iko siku tutawafukuza tu. Bado hatujasahau jinsi mlivyodhulumu EAC assets.

Tunawajibika kuwa wakweli
:mad:Vyuo vikuu vya Kenya vinazalisha wasomi wengi wa Kisawhili kuliko ilivyo kwa vyuo vikuu vya Tanzania. (angalia takwimu za graduates wa kiswahili unniversities za Tanzania na Kenya)
:mad:Mwaka 2007 Tanzania ilishindwa kukidhi matakwa ya Nigeria na US ya kupeleka walimu wa Kiswahili nchini homo (Nigeria, 3000; na US, 500). Walimu hao wa kufundisha Kiswahili wametoka Kenya (Fuatilia Foreign Affairs Dar).
Sasa tunawezaje kusema kuwa wakenya hawajui kiswahili, au kuwa awtanzania ni wakali kwa kiswahili? Nadanhi huu ni ushabiki au 'uswahili' tu. Tujadili mambo ya federation ya EAC kwa makini badala ya ushabiki na hisia.
We need to develop our competence, not else.
 
Sophist,

..sasa si umuombe Smatta aandike Kiswahili posting nzima hapa uone kama ata-survive job interview na mazingira ya kazi ya Kiswahili?

..je, Kenya ina Engineers,Doctors,Accountants,Bankers, Lawyers, ambao wanaongea Kiswahili kwa ufasaha kama tulionao Tanzania?

..Tanzania tuna graduates wachache wa chuo kikuu kuliko Kenya. vilevile graduates hao wengi wanahangaika mitaani kugombea kazi chache.

..Watanzania wanaona Kenya inataka Community ili ku-sustain their industrial growth. hawaoni kama kutakuwa na any serious industrialization on Tanzanian side ambayo ita-ease unemployment pressures.


Smatta,

..Watanzania feel closer to the Southern region of Africa kwasababu wakati tumekosana na Wakenya hao ndiyo walikuwa ndugu zetu wa karibu.

..Mzee Kenyatta aliombwa na Mwalimu na Obote are Raisi wa East Africa na akakataa, baada ya hapo ndipo Mwalimu na Karume wakaunda Tanzania in a haste.

..Samora Machel of Mozambique alikuwa kama mtoto wa Tanzania wakati wanapigania uhuru, mpaka anakwenda kuwa Raisi.

..Samora Machel na Kenneth Kaunda walikuwa watu wa karibu sana na Mwalimu na uongozi wa Tanzania kiasi kwamba walikuwa wana-attend hata high level meetings za CCM.

..wakati Kenya wanai-demonize Tanzania, and vice versa, Samora Machel wa Mozambique alikuwa anakuja Tanzania kupatanisha wana CCM na kuimba kwenye Radio Tanzania "tuna imaani na Nyerere oya oya oya."

..wakati wa vita na Iddi Amini, Mozambique was the only African country that sent her soldiers to on Tanzanias side.

..Watanzania wamepigana vita Mozambique,Angola,na Zimbabwe, and they felt it was their duty to fight for the independence of Southern Africa. kuna wakati ilikuwa inapitishwa michango nchi nzima kwenda kusaidia vita South.


..there is a sense of UNDUGU/BROTHERHOOD kati ya TANZANIA and our SOUTHERN neighbors that has been cultivated and nurtured for a long time. at the same time kulikuwa na propaganda ya muda mrefu kwamba KENYA subotaged the 1st EAC bcuz of her own SELFISH and CAPITALIST interests.

NB:

..i think there is a need to cultivate a sense of "undugu", "ujirani", "community", btn east african countries.

..mambo ya ku-bombard wananchi na economic data, and stories that we will form bigger market, has not worked so far.
 
i wanted to present my opinion but i cant help but notice just how much tanzanians hate kenyans, it is very sad to see how much tanzanians hate kenyans. very sad indeed.

WOW!!! it is just astonishing reading the strong negative emotions tanzanians have for kenya, while kenyans like tanzanians very much. if only kenyans knew how much you guys dislike us
 
Namshukuru sana Joka Kuu kwa kuwa elaborate. Yeye ana - present in a more civilized way, unlike me who is thought to be an extremist hater, when i actually hate none but only i try to bring a point home. But i am not sure whether Smatta will understand what this gentleman is talking about. Joka Kuu historia ya nchi imemkaa. Sisi tukisema tunawapenda jirani zetu wa Kusini, Wakenya hawataki kusikia, na inawauma sana!!!!!!!. That's history, you can't erase it. Wivu wa nini? Chuki ya nini kati yangu mimi na wewe. Ni ndugu zetu wa damu wale, a friend in need is a friend indeed. We needed them, and were there.
 
i wanted to present my opinion but i cant help but notice just how much tanzanians hate kenyans, it is very sad to see how much tanzanians hate kenyans. very sad indeed.

WOW!!! it is just astonishing reading the strong negative emotions tanzanians have for kenya, while kenyans like tanzanians very much. if only kenyans knew how much you guys dislike us

Sup bro, welcome to Tanzania, this is the real deal up in this forum. They dare talk openly, denouncing their neighbors, but what can we say.
 
Namshukuru sana Joka Kuu kwa kuwa elaborate. Yeye ana - present in a more civilized way, unlike me who is thought to be an extremist hater, when i actually hate none but only i try to bring a point home. But i am not sure whether Smatta will understand what this gentleman is talking about. Joka Kuu historia ya nchi imemkaa. Sisi tukisema tunawapenda jirani zetu wa Kusini, Wakenya hawataki kusikia, na inawauma sana!!!!!!!. That's history, you can't erase it. Wivu wa nini? Chuki ya nini kati yangu mimi na wewe. Ni ndugu zetu wa damu wale, a friend in need is a friend indeed. We needed them, and were there.

You support him because he backs what he believes in with facts, he makes us understand this thing better than you do, he talks facts and back it up, you on the other hand only spew hate, you come off as a bitter citizen, shortchanged in a way, hurt by other people, and thats why I always go against what you stand for (genocide). I have read what Joka Kuu has written and support most of it, (except what he said about me and swahili, coz Im very good at swahili, only that I like twisting it to sheng, to represent where I am from).

So if you want us to take you seriously, talk logic. Reduce that pain in your article, try and make us beleive what you beleive in, coz thats the main reason we come to this forum daily, to try and understand each other, coz whether the federation goes through or not, am an East African citizen and I will always be crossing the borders, unless your goverment bans me (which will never happen) from visiting and doing what I do in Tanzania. So in a way we are stuck together in a maze too complicated for us to decipher, and the only way out is to form a truce and meet halfway so that we can develop together. Thats my take
 
Wewe Smatta usiseme nyinyi, jiseme wewe. Wewe kunichukulia serious au kinyume chake ni kazi bure kwangu. Najua unachotaka, sicho watu wengi wa nchi hii wanataka. Majority ya watanzania walishasema no to Federation, bado unalazimisha, unapoteza muda wako. Anayekukataza kuja Tanzania ni nani? Unatoka kwenye issues, unaanza kulaumu kuwa hupendwi, hatuko kwenye mapenzi. Ni nguvu ya hoja! Usitake kuburuza watu na matakwa yako, waache watu waamue. Nilisema watu wakilazimishwa kuungana, yanaweza kutokea matatizo ya umwagaji damu na vita, sasa, uongo huo? Unasema wanataka kukufanyia genocide, for what good reason? Why do have to create an elephant in order to kill it? Why not plan ahead. Wewe kama unaishi kwa wasi wasi na maisha yako, hizo ni shida zako. But you seem to be obsessed with Tanzania! Omba uraia kwa njia za kawaida, instead of hiding. Hata wahindi wanapewa, kwa hiyo na wewe bila shaka utapata. Wewe usilete mambo personal, kwanza sikujui, hapa tunajuana kwa kila mtu mawazo yake. Mimi nasema kile majority ya wa TZ wanachosimamia. Kwani hata hiyo common market mmeambulia nini? Vipengele vyote tulivyotaka vimepita, tulivyokataa havikupita, tulishawapiga bao. Kumbuka, mi siko mbali na negotiations za integration. Hujaona mood za waTZ experts kwenye hizo negotiations, kwa sababu you don't attend. Unaongelea eti hiyo hela inayoingia kwenye mchakato wa integration lazima ilete federation. How much is Kenya pumping in, hujui. Kwa akili yako unadhani Federation inanunuliwa kwa hela. Tell me, how is EAC being financed? Wewe ni mtu wa mtaani, hujui chochote kuhusu mchakato huu. Sijui ni kitu gani kinakusumbua mpaka unakaa unaota fast tracking ya Federation. Ulisema ni mfanya biashara, nilikwambia nenda TIC wakupe utaratibu wa kuwekeza kama una hela ya kutosha. Unafanya biashara gani, au unakuja kununua machungwa Tanga kwenye FUSO? Au ni wale wa noti bandia?
 
hahahahaha.. kaka yangu Kanyabwoya, haujui naweza kukulisha wewe binafsi kwa mwezi mzima na ile pesa naenda kuharibu leo kwa bar niki entertain ma binti na marafiki? hahahaa.. ati Machungwa Tanga, uliambiwa Kenya hakuna matunda, na hio kazi ya kusafirisha matunda unayosema hujui ina pesa kuliko unayofanya wewe hapo kwa Waarabu umefunga tai na hii joto yote, kwani unaingiza hela ngapi kwa siku wewe mtoto, umeandikwa mwanaume mzima na unapiga kifua mbele ya watu ambao wamejiandika kwa miaka mingi na wana reap benefits za biashara zao? Nilikuambia kama ni mambo ya pesa kaka, hapo tu nyamaza, kwa kuwa hunijui na ungekuwa mstaarabu ningekuja kukuona ninapofika Daresalama, ni prove some points to you (though it sounds juvenile, sometimes we have to show this youngins that they are still so young and we are not their peers socially and intelectually). Haikuhusu ni biashara gani na fanya, whether its legal au na uza madawa, as long as am not putting food on your table you should ignore my hustle. tusibishane aisee
 
Tanzania haiwezi kujiandaa hata ikipewa miaka 25 zaidi.
Provided mambo ya Land hayapo tuingie tu wandugu... hakuna option tunajichelewesha pia kwa kukosa challenges
 
Wewe Smatta usiseme nyinyi, jiseme wewe. Wewe kunichukulia serious au kinyume chake ni kazi bure kwangu. Najua unachotaka, sicho watu wengi wa nchi hii wanataka. Majority ya watanzania walishasema no to Federation, bado unalazimisha, unapoteza muda wako. Anayekukataza kuja Tanzania ni nani? Unatoka kwenye issues, unaanza kulaumu kuwa hupendwi, hatuko kwenye mapenzi. Ni nguvu ya hoja! Usitake kuburuza watu na matakwa yako, waache watu waamue. Nilisema watu wakilazimishwa kuungana, yanaweza kutokea matatizo ya umwagaji damu na vita, sasa, uongo huo? Unasema wanataka kukufanyia genocide, for what good reason? Why do have to create an elephant in order to kill it? Why not plan ahead. Wewe kama unaishi kwa wasi wasi na maisha yako, hizo ni shida zako. But you seem to be obsessed with Tanzania! Omba uraia kwa njia za kawaida, instead of hiding. Hata wahindi wanapewa, kwa hiyo na wewe bila shaka utapata. Wewe usilete mambo personal, kwanza sikujui, hapa tunajuana kwa kila mtu mawazo yake. Mimi nasema kile majority ya wa TZ wanachosimamia. Kwani hata hiyo common market mmeambulia nini? Vipengele vyote tulivyotaka vimepita, tulivyokataa havikupita, tulishawapiga bao. Kumbuka, mi siko mbali na negotiations za integration. Hujaona mood za waTZ experts kwenye hizo negotiations, kwa sababu you don't attend. Unaongelea eti hiyo hela inayoingia kwenye mchakato wa integration lazima ilete federation. How much is Kenya pumping in, hujui. Kwa akili yako unadhani Federation inanunuliwa kwa hela. Tell me, how is EAC being financed? Wewe ni mtu wa mtaani, hujui chochote kuhusu mchakato huu. Sijui ni kitu gani kinakusumbua mpaka unakaa unaota fast tracking ya Federation. Ulisema ni mfanya biashara, nilikwambia nenda TIC wakupe utaratibu wa kuwekeza kama una hela ya kutosha. Unafanya biashara gani, au unakuja kununua machungwa Tanga kwenye FUSO? Au ni wale wa noti bandia?

Who is funding EAC?
Global interest; global decisions. Friend, ensure to be part of it!
 
Smatta, you sound perfectly and completely like 18th century emperialist,your bravery and risk taking ability is what brought you to this point where 60% of your land is owned by 4% of the total population.
Haraaaambeeeeee for your strength to survive,the strength that made most of you,including you SMATTA be the slave in your own country.
Haraaaaambeee KENYANS for taking risk and manage to have high rate of segregation and racism,and that risk you took during your the time of building you national foundation is chewing you now,haraaaaaambee.....
But all in all,we dont want you,we dont need you and we do hate you.
hate is not our nature,but we hate you cause we know you dont love us,we hate you because kenyans dont deserve love because they dont know what love is.
We dont trust politicians,because they dont do what we want,and we know that they will definately sign the agreement.But hear me,and please hear me good,""Tanzania is neither your promised land nor your land of milk and honey.we know the consiquences of you Kenyans being here.you have no hummanity in your hearts,you are selfish and cant be trusted,though you cal it strength.
The problem of you being here will be dealty with a very rough hand from us,we will not wait for our goverment to take action because we dont trust our leaders.It will be us (STREEET CHAPS) that will deal with you. We dealty with IDDI AMIN DADA and chassed him out of Uganda,and we will deal with kenyans when the time come
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom