Kwame Nkrumah
JF-Expert Member
- Dec 2, 2008
- 886
- 376
Pinda kakusanya viongozi, anawaambia tuna tatizo la uongozi. hotuba imeisha, anapigiwa makofi,huyoo.... kapanda ndege, ziara imeisha. Nobody reprimanded, nobody fired.. uongozi wake bora uko wapi kama yeye anashindwa kuwawajibisha watu wake ??