Watanzania
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 727
- 42
Hii ni tanzania ninayoitamani, nchi imara ambayo watu wake wanajali uwezo wa mtu wa kuongoza Dr. Slaa. Mashehe watamke Dr Slaa ni chaguo la Mungu wamuunge mkono.
Hakuna kitu kama icho (chaguo la Mungu) kwenye Uislam, kwa hiyo SAHAU. Wanaweza kujitokeza baadhi kumuunga mkono (if possible), lakini si kutamka hayo niliyo yataja hapo juu.Hii ni tanzania ninayoitamani, nchi imara ambayo watu wake wanajali uwezo wa mtu wa kuongoza Dr. Slaa. Mashehe watamke Dr Slaa ni chaguo la Mungu wamuunge mkono.
Hii ni tanzania ninayoitamani, nchi imara ambayo watu wake wanajali uwezo wa mtu wa kuongoza Dr. Slaa. Mashehe watamke Dr Slaa ni chaguo la Mungu wamuunge mkono.
Hakuna kitu kama icho (chaguo la Mungu) kwenye Uislam, kwa hiyo SAHAU. Wanaweza kujitokeza baadhi kumuunga mkono (if possible), lakini si kutamka hayo niliyo yataja hapo juu.
Nimekuelewa mkuu, ndio hivyo tena JF, Kila aina ya mawazo utayapata, some times michosho kichizi...Achana nao mkuu. Hoja zingine unabidi ujiulize mtu ana fikiria nini. Mashehe watamka Slaa ndiyo chaguo la Mungu kwani hao mashehe wali tumiwa lini huo ujumbe? Waache waishi kwenye ulimwengu wa ahera wakati matatizo yanayo jadiliwa ni ya hapa hapa duniani.