SoNotorious
JF-Expert Member
- Sep 11, 2011
- 2,422
- 859
Tanzania inafanya operation nyingi sana duniani ikishirikiana na majeshi mangine duniana. Na riport zimekuwa zikija positive.
Marekani hawana vita, china hawana vita lakini majeshi yao ndio yenyenguvu dunian. Vilevile India haina vita lakini nikati ya 10 bora duniani. Umenipata?
china na india, ****. hawa wachina walipigwa na wajapan kama kuku mpaka wakajenga ukuta wa kujilinda, hao wahindi wana kitu gani zaidi ya nyuklia? wamerekani tunawaona katika lethal operation duni