Tanzania ni ya sita kijeshi Afrika

Tanzania inafanya operation nyingi sana duniani ikishirikiana na majeshi mangine duniana. Na riport zimekuwa zikija positive.
Marekani hawana vita, china hawana vita lakini majeshi yao ndio yenyenguvu dunian. Vilevile India haina vita lakini nikati ya 10 bora duniani. Umenipata?

china na india, ****. hawa wachina walipigwa na wajapan kama kuku mpaka wakajenga ukuta wa kujilinda, hao wahindi wana kitu gani zaidi ya nyuklia? wamerekani tunawaona katika lethal operation duni
 
malawi wana uranium nyingi na tayari wamewapa wachina. inawezekana pesa ya uranium inawapa jeuri.
 
kuna mnyarwanda hapo jirani yuko imara sana kijeshi,na ndio maana hapo r.d.c. hapakaliki.basi tu hajaamua kuleta balaa zake tz
 
Sikatai uwezekano wa JWTZ kuwa jeshi imara. Kinachonisikitisha ni sisi wabongo kupenda tetesi na habari za kuambiwa na si kutafiti ili tujue ukweli halisi wa jambo fulani na hili ndilo linalotutofautisha na wengine kwa mfano, hivi ni wangapi tunajua vizuri hata maana ya jina Tanganyika?Ni wangapi wanajua uwezo halisi wa JWTZ ukilinganisha na majeshi mengine Afrika - (Uwezo wa kupigana,idadi na ubora wa silaha,elimu ya vita etc?Ni wangapi wanajua kuwa mpaka unaoonyeshwa kwenye ramani za kimataifa (ukiachilia mbali ramani za kwetu) kati ya Malawi na TZ unapita kwenye shoreline upande wa TZ ? Tufanye utafiti na tujitambue na kujielewa sisi wenyewe kwanza kabla hata ya kuanza kurukia mambo yanayohusisha na wengine.
 
kuna mnyarwanda hapo jirani yuko imara sana kijeshi,na ndio maana hapo r.d.c. hapakaliki.basi tu hajaamua kuleta balaa zake tz

Mkuu ni hakika. Haka kajeshi kao kako imara na kana nidhamu. Ukileta za kuleta unatupwa nje. Akina Kayumba Nyamwasa walileta za kuleta jamaa hakuangalia kama walikuwa wote msituni wala nini akawatema.
 
Habari za kijeshi kwenye mtandao wa kijamii? Kama ni hivyo basi hakuna siri.
 
tule teee! na list ya nafasi mambo mengine kama UFISADI, MIGOMO, RUSHWA, N.K
 
Nafikiri jamaa kaitoa list hiyo hapa:

Here is some valid information due to recent estimations and studies. You are welcome to list your own countries if you prefer to believe what comes from your head, but if you are a student or willing to find valid information this will be your first step.

1. South Africa: South Africa (South Africa has the most powerful army in Africa; it has more harmful weapons than any other country in Africa; it is the only African country that was trying to create the Nuclear weapon but was stopped by the US. The South African National Defence Force (SANDF) this includes: South African Army, South African Navy, South African Air Force and South African Military Health Service. South Africa has recently lower their budge on army from $7.21 billion 2003 to nearly $4 billion 2011. Trained by Israeli, and British, South African solders are more armed and more trained than any other country's soldiers.

2. Egypt: According to recent study, Egypt is considered to be the second most powerful country in Africa. For many years Egypt has been the first strongest country in the continent of Africa. With number of troops exceed that of South Africa, and more suppliers from countries such as United States, Russia, France, China, Italy and United Kingdom, political instability has made an affect to Egyptian Armed Forces. This includes Egyptian Army, Egyptian Navy, Egyptian Air Force and Egyptian Air Defense Command. Egypt has increased their Armed Forces budget from $3.9 billion to $5.85 billion within the last five years.

3. Libya:

4. Morocco:

5. Nigeria: Nigeria has the second largest army by number of troops, but due to political instability and lack of equipment Nigeria has appear to be the 5th strongest country in Africa. It has been estimated that in year 2013-2018 Nigeria may get weaker.

6. Tanzania: Tanzania has the most powerful army in East Africa; The Tanzania Peoples' Defence Force (TPDF) (Swahili: Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) the one defeated Idi Amin of Uganda with big help form Muammar Al-Gaddafi of Libya and . The Palestine Liberation Organization (PLO) The Tanzania People' Defence Force includes Land Forces Command, Naval Command, Air Force Command, and Military Intelligence. Julius Kambarage Nyerere (The first Tanzania's President) prepared president Laurent Desire Kabila of DR Congo to take over the powerful Mobutu Sese Seko Nkuku Ngbendu WA Zabanga; also prepared his son Joseph Kabila. Tanzania has trained Congolese solders in Tabora and Kigoma region for Kabila to return in Congo and take over power. Both Kabilas father and son were schooled and lived most of their lives in Tanzania before returning to Congo. Tanzania Also prepared Yoweri Kaguta Museveni who also schooled and lived in Tanzania before the Tanzania and Uganda war that resulted in defeating Dictator Idi Amin. Most Uganda leader got help from Tanzania before becoming leaders. This includes: Tito Lutwa Okello, Yusuf Kironde Lule, and Bazilio Olara-Okello. Recently, Tanzania did not want to send his solders in Somalia but offer training to Somali solders who will soon return to protect their country. Tanzania sent 924 soldiers to lead the African Union Solders in Comoros's Island to take Colonel Mohamed Bacar of Anjouan off power. Tanzania has the 3rd largest army in number troops after Ethiopia, and Eritrea, and recently considered the second in equipment after Kenya, but with more well trained troops. The recent estimation shows that Tanzania is the country in East-Africa followed by Ethiopia.

7. Ethiopia: Ethiopia once was considered the strongest country in East Africa. After continues civil war Ethiopia has gotten weaker. Ethiopia is still has the largest army by number of troops followed by Eritrea and Tanzania, and the 3rd in equipment after Kenya and Tanzania. 2011 Estimation shows, Ethiopia is spending 2.4% of its GDP in military. This includes: Ethiopia Army and Ethiopia Air Force.

8. Ghana:

9. Kenya: Kenya is the second strongest Nation in East Africa Economically after Ethiopia; it is the first in East African Community followed by Tanzania and Uganda. In 1981 Kenya was consider to be the 4th strongest nation in East Africa after Tanzania, Ethiopia, and Somalia. In 1994 Kenya was considered the 3rd strongest country in East Africa after Somalia and Uganda having both economic and political instability caused by war and dictatorship. The estimation indicates that Kenya will get even stronger within next 5-10 years. Kenya has the higher army budget in East Africa followed by Ethiopia. 2012 estimation shows Kenya is using 5.3% of its GDP in military. This includes: Kenya Army, Kenya Navy and Kenya Air Force.

10. Uganda:

Hayo ni mawazo ya mtu mmoja na wala hayakuwa substantiated na data za kuaminika.

Kila wakati huwa nina wasi wasi kuwa Rwanda wanaweza kuwa na jeshi imara kuliko sisi. Waliweza kuwadhibiti Wazimbabwe huko Kongo wakati wa mzee Kabila, na wana vyuo vyao vya kijeshi ambavyo vinaendeshwa kwa nidhamu ya hali ya juu sana. Nadhani Rwanda ndiyo nchi pekee katika eneo la Afrika ya Mashariki na kati ambayo haijawahi kuleta maafisa wake kusomea Monduli kwa vile wnaona Monduli kama substandard.
 
Jeshi la tanzania ni moja ya majeshi imara kabisa barani Afrika.








Hii ni kwa sababu:-
1. Uzalendo wa wanajeshi wa tanzania
2. Mipango thabiti ya jeshi
3. Mfumo mzuri wa jeshi.

Huwa baada ya miaka miwili huwa kunafanyika gwaride la makomadoo wa afrika. Tanzania imekuwa ikishikilia nafasi ya pili na tatu kwa upande wa makomadoo.

Huenda wengine wakadhani nchi ya tanzania inaingilika kiulaini la hasha.

Ifuatayo ni jinsi majeshi yalivyo
1. Afrika ya kusini
2. Ethiopia
3. Libya
4. Misri
5. Ghana

na ya sita Tanzania.

Nchi ya Tanzania inafundisha majeshi mbalimbali Afrika
Kongo DRC, Uganda, Msumbiji vile vile nchi ya Kenya huwa inachukua mafunzo katika Jeshi la Tanzania.


Nchi ya tanzania mara nyingi hupata mafunzo ya kijeshi nje ya Afrika na sio Afrika maana tuko juu.
Nchi ya urusi na china ndio nchi ambazo mara nyingi tanzania hupata mafunzo

Naipenda TANZANIA

Mkuu hii inatusaidia nini kufikia lengo la maisha bora kwa kila Mtanzania?
 
Bora kivipi mapigano au vifaa. But any way jwtz ni jeshi imara ebu tufikiri kidogo kwamba leo mtu anaenda kwa jirani kupiga stori anasafiri anafanya biashara ana uhuru hata wa kumtukana rais na akaachiwa hii yote according to jwtz pasipo ulinz imara tusingekuwa hapa pengine watanzania leo tungeitawa wakimbizi. Wakat wewe unalala usingizi mzito jeshi la wanaume wanakesha mipakani kulinda amani na hii kila siku iendayo kwa Mungu hawa guys wanakesha. Sawa kuna mapungufu lakn hapa tulipofika tulisifie jeshi letu..Mugabe alisema mkombozi wa africa co mandela ni nyerere. So what u think. Nyerere alikuwa haend vitani wanaoenda ni jwtz so fikiri km tusingekuwa na jeshi imara lenye mafunzo mazuri unadhani leo mugabe angesema nyerere ni mkomboz wa africa. Ugumu wa maisha na siasa tusichanganye na jexhi. Kazi ya jeshi ni ulinzi tu na co kuboresha maisha keep it up
 
weye unaishi dunia gani? Unasemaje marekani hakuna vita? Kule iraq, afghanistan, pakistan, libya, somalia nani anapigana kama si mmarekani?

Unasema india hakuna vita ivi hujui vita ya jimbo la kashmir na maeneo mengine kwenye mapigano ya kikabila na kidini ambako india inapigana?

Unasema china haina vita hujui kama ni juzi tu china ilikua inapigana na wanamgambo wa kiislam na hadi leo hakujawa stable?

Kama kweli tanzania inaweza kupigana na ijaribu kupigana na nchi kama ethiopia, misri au sudan ndo uone shughuli yake.
weye unaishi dunia gani? Unasemaje marekani hakuna vita? Kule iraq, afghanistan, pakistan, libya, somalia nani anapigana kama si mmarekani?

Unasema india hakuna vita ivi hujui vita ya jimbo la kashmir na maeneo mengine kwenye mapigano ya kikabila na kidini ambako india inapigana?

Unasema china haina vita hujui kama ni juzi tu china ilikua inapigana na wanamgambo wa kiislam na hadi leo hakujawa stable?

Kama kweli tanzania inaweza kupigana na ijaribu kupigana na nchi kama ethiopia, misri au sudan ndo uone shughuli yake.
American hawana vita isipokuwa wanavamia nchi nyingine. Nchi isiyokuwa na vita inakuwa na jeshi imara coz wanapata muda wa kuzalisha vijana wanaojiunga na jeshi pia wanapewa mafunzo ya kutosha. Na kufanya operation mbalimbali kam comoro.lebanon.congo.na kote huko wanafanya vizuri
 
Kama kweli lijeshi letu ni la 6 africa, ebu tujaribu kuichokoza Rwanda au kuwanyang'anya malawi ziwa nyasa!!!!....
 
1. Source yako haiaminiki
2. Misri wana jeshi hatari waweza fuatilia hata bajet yao ya jeshi inazidi ya east africa combined hivo wanachuana na s. Aftica... misri wanaweza stand vita na israel na wanajeshi kubwa na well trained....
3. Usiwabeze nijeria pamoja na shida zao na boko haram....
 
Bora kivipi mapigano au vifaa. But any way jwtz ni jeshi imara ebu tufikiri kidogo kwamba leo mtu anaenda kwa jirani kupiga stori anasafiri anafanya biashara ana uhuru hata wa kumtukana rais na akaachiwa hii yote according to jwtz pasipo ulinz imara tusingekuwa hapa pengine watanzania leo tungeitawa wakimbizi. Wakat wewe unalala usingizi mzito jeshi la wanaume wanakesha mipakani kulinda amani na hii kila siku iendayo kwa Mungu hawa guys wanakesha. Sawa kuna mapungufu lakn hapa tulipofika tulisifie jeshi letu..Mugabe alisema mkombozi wa africa co mandela ni nyerere. So what u think. Nyerere alikuwa haend vitani wanaoenda ni jwtz so fikiri km tusingekuwa na jeshi imara lenye mafunzo mazuri unadhani leo mugabe angesema nyerere ni mkomboz wa africa. Ugumu wa maisha na siasa tusichanganye na jexhi. Kazi ya jeshi ni ulinzi tu na co kuboresha maisha keep it up
Dah umeongea kitu cha msingi sana big up
 
Misri wanapewa na kusaidiwa kifedha sana na wamarekani.
Libya is a failed state.
South africa wao ni vifaa tu.Sijui kuhusu nyingine ila jwtz tuko juu
 
Back
Top Bottom