Hakuna ambaye ameshawahi kuwa waziri mkuu mwenye msimamo wa kishujaa kama bwana huyu. HAKUNA.
anamzidi nyerere?
manake historia inasema nyerere anye alishawahi kuwa waziri mkuu.
RIP EMS.
toka wqkati wa kambarage:crazy:Umezaliwa lini????
lowasa angepewa muda angemfunika huyu...
Na huo muda huyo Lowasa alinyang'anywa na nani............??? Si alijitoa mwenyewe..........???lowasa angepewa muda angemfunika huyu...
Hakuna aliyeweza kuvaa viatu vya huyu mzee... Mungu amweke pema peponi amen..
Ila slaa angekuwa rais anaweza kuvaa kabisa...
lowasa angepewa muda angemfunika huyu...
natamani lowasa arudi kuwa PM...huu ujinga usingekuwepo, mara dowans, mara mgao wa maji, yote kwisha habari maana huwa anachukua maamuzi ya haraka kutatua tatizo...problem ni kuwa watz huwa hawapendi mtu anayekula ili hali na wao anawabakizia...
Je kama alikua fisadi mlimfikisha mahakamani?Kwa nini unamsifu huyu Lowasa,mtu ambaye anatuhumiwa kwa ufisadi?
Kuhusu kurithi viongozi,viongozi wakiharibu kazi watarithiwa tu,kama wanavyokuwepo wachezaji katika benchi,ambao kama kuna mchezaji akipata matatizo yoyote,kocha wa mpira anatoa taarifa mara moja kwamba anataka kumbadilisha.
Lazima wawepo wachezaji waiting in the wings,ili kiongozi,kama ni Rais,Waziri,yeyote yule,akitetereka tu kidogo anaondolewa. Lazima wawepo shadow ministers.
Ingekuwa vizuri kama angekuwepo Shadow President. Mimi nataka kuwa Shadow President.