Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Pamoja na kuwa watuhumiwa sita waliohusika na dili la kusafirisha meno ya tembo kwenda Phillipines na Vietnamu walifikishwa mahakani jana, habari nilizozipata ni kuwa Tz ni mhanga mkubwa wa hiyo biashara. Huu ni mzigo wa watatu mkubwa kukamatwa katika nchi za Asia ya mbali na taarifa zilizopo zinaonesha kuwa hali ni mbaya sana. Hiyo document hapo Forensic Tools Battle Ivory Poachers: Scientific American inatoa picha zaidi.
Last edited: