Tanzania ni moja kwenye Raha hidhi, hii ndio faida ya Muungano walichopoteza wenzetu ni Jina tu.

abdulahsaf

JF-Expert Member
Aug 31, 2010
858
130
stamp_nyerere_1989.jpg



Tanganyika_coa_n6791.gif


Independence_Day_2009.jpg


190px-Passporttz.jpg



Ujerumani Yaipa Tanzania Shilingi bilioni 352 Kusaidia kuboresha utawala bora katika serikali za mitaa, sekta ya afya , nishati , maliasili, maji, mfuko wa bajeti ya Serikali na kuboresha programu ya usimamizi wa fedha za umma.


2b.jpg

Waziri wa Fedha Dr. William Mgimwa(kushoto) na Balozi wa Ujerumani nchini Klaus Peter Brandes (kulia) wakibadilishana hati za makubaliano ya mkataba wa msaada wa miaka mitatu jana mjini Dar es salaam ambapo Ujerumani itaipatia Tanzania msaada wa Shilingi bilioni 352 . Msaada huo utasaidia kuboresha utawala bora katika serikali za mitaa, sekta ya afya , nishati , maliasili, maji, mfuko wa bajeti ya Serikali na kuboresha programu ya usimamizi wa fedha za umma.
fff.jpg

Waziri wa Fedha Dr. William Mgimwa(kushoto) na Balozi wa Ujerumani nchini Kluas Peter Brandes (kulia) wakisaini mkataba wa msaada wa miaka mitatu jana mjini Dar es salaam ambapo Ujerumani itaipatia Tanzania msaada wa Shilingi bilioni 352 . Msaada huo utasaidia kuboresha utawala bora katika serikali za mitaa, sekta ya afya , nishati , maliasili, maji, mfuko wa bajeti ya Serikali na kuboresha programu ya usimamizi wa fedha za umma.Picha na Tiganya Vincent-MAELEZO-Dar esalaam
 
Back
Top Bottom