tangazaji mmoja aliwauliza vijana 2 waliopuliza ganja:
Mtangazaji: Hebu wewe tuambie kuhusu Tz.
No.1: Mimi mshkaji Tz ni mama yangu imenilea na kunikuza.
Mtangazaji: Vizuri, na wewe ndugu tuambie kuhusu Tz.
No.2: Mimi naona noma siwezi kumzungumzia mama wa mshkaji wangu.
Mtangazaji: Hebu wewe tuambie kuhusu Tz.
No.1: Mimi mshkaji Tz ni mama yangu imenilea na kunikuza.
Mtangazaji: Vizuri, na wewe ndugu tuambie kuhusu Tz.
No.2: Mimi naona noma siwezi kumzungumzia mama wa mshkaji wangu.