RasJah
JF-Expert Member
- Nov 5, 2009
- 703
- 64
Mh. Membe ametoa karipio kali sana kuwa Libya bado haiwaitambui Serikali ya Rebel (NTC) na hata ameweza kuita Balozi wa Libya baada ya kuweka Bendera ya nchi ya Rebel kuwa wamekuika taratibu za nchi za diplomasia.
Je nchi yetu tunaonekana vipi kama wawekezaji waki-somali mfano Paradise hotels ambazo zipo Mkapa house na bagamoyo, huyu jamaa alikuwa ni Waziri wa Fedha (stolen money) wakati Rais Siad Bareh, ukiende kule kunduchi maeneo ya Ununio kuna wasomali (sio alishabab-blood money) wanajenga majumba ya kuuza haitoshi bado mtu kama Abdallahman Kinana ni msomali na amekuwa deals nyingi za arms deals kati ya Tz na wauzaji sasa je Tanzania tuko safe kweli. Kurugenzi husika wanaitakia mema Tanzania kwani mtu kama tajiri wa Paradise hawezi kuwekeza USA, UK kwani sources of money questionable? Yule mwekezaji katika real estates kule ununio pesa zote amepata wapi na hata Kinana naye maswali ni mengi ambayo PCCB, Usaalama wa Taifa na Intelligence, kitengo cha Money laundry lazima wafanye kazi bega kwa bega. JK nchi iko katika hata kuwa lead na foreign ambao ni rebels ni hatari sana. Wana JF hii ni serious uzawa umepotea tutaendelea kuwa vibarua kwenye nchi yetu.
Je nchi yetu tunaonekana vipi kama wawekezaji waki-somali mfano Paradise hotels ambazo zipo Mkapa house na bagamoyo, huyu jamaa alikuwa ni Waziri wa Fedha (stolen money) wakati Rais Siad Bareh, ukiende kule kunduchi maeneo ya Ununio kuna wasomali (sio alishabab-blood money) wanajenga majumba ya kuuza haitoshi bado mtu kama Abdallahman Kinana ni msomali na amekuwa deals nyingi za arms deals kati ya Tz na wauzaji sasa je Tanzania tuko safe kweli. Kurugenzi husika wanaitakia mema Tanzania kwani mtu kama tajiri wa Paradise hawezi kuwekeza USA, UK kwani sources of money questionable? Yule mwekezaji katika real estates kule ununio pesa zote amepata wapi na hata Kinana naye maswali ni mengi ambayo PCCB, Usaalama wa Taifa na Intelligence, kitengo cha Money laundry lazima wafanye kazi bega kwa bega. JK nchi iko katika hata kuwa lead na foreign ambao ni rebels ni hatari sana. Wana JF hii ni serious uzawa umepotea tutaendelea kuwa vibarua kwenye nchi yetu.