Tanzania National Identities

Mpango wa kuwa na vitambulisho vya kitaifa:

  • Ni Nzuri

    Votes: 204 58.5%
  • Ni Mbaya

    Votes: 146 41.8%

  • Total voters
    349
Kama Pass Mpya zinagushika ni hivi vitambulisho.

Tanzania tuna tatizo moja nalo ni kufanya kila kitu bila kufikiria miaka ijayo.

Mfano si mwaka 2005, walitoka na Permanent Voter Registration (PVR) na watu tayari wana vitambulisho vya kupigia kura?

Nadhani kitu cha kwanza cha kufanya ni kutoa Vyeti vya Kuzaliwa visivyogushika.


Hawa viongozi wetu wanafikiria vizuri sana Aljazeera, wengi wao wanatembelea huko dunia ya kwanza kwenye semina na shughuli nyinginezo mara kwa mara na pengine hata wamesoma huku dunia ya kwanza.

Hivo uelewa wanao ila, wana malengo yao binanfsi kabisa tofauti na maslahi ya Taifa. Wangejifunza UK mfano; leo hii wana wanatoa National ID kadi moja ambayo itakuwa na Data zote muhimu...kadi ambayo itatumika kwenye idara tofauti kulingana na mahitaji...kwa maana nyingine GHARAMA inakuwa MARA MOJA na pia itapunguza MARUDIO ya data.

Njia pekee ya kuzuia kufoji hivi vitambulisho ni kuwa na LIVE DATA SYSTEMS (Data Warehouse) ambazo zitatumika kucheki uhalali wa hizo Data live. Kama wanavyofanya wamerekani kwenye Visa System yao, au waingereza walipoanza kuchukua Finger Prints....kinyume na hapo HAKUNA kadi ambayo itakuwa Secure 100%. Well...wataalam wanasema "There is no such thing as 100% Security"
 
Mzee Mwanakijiji,

kama alivyosema Yebo Yebo, data base ni muhimu sana kati ya yote haya. Vitambulisho vya Canada vigumu sana kughushi kwa sababu vina ukanda ambao unatumika na vyombo vyote muhimu iwe Hospital, Polisi, ofisi za serikali na kadhalika na inasemekana record yako huwepo kila sehemu zinazohusika. Kibaya sana US ni kwamba unaweza kupata kitambulisho halali ukiwa nyumbani yaani unamtuma mtu tu.

Kisha hapa kwetu wanao tengeneza vitambulisho ndio hao hao wanaomaliza yote na picha yako itawekwa papo kwa hapo sio kitambulisho kitengenezwe US na wakazi waombaji wapo Bongo. Hapa huoni kama mchezo ni rahisi zaidi?...
mashine ndogo sana kama ile Zebra P110i Printer inaweza kumaliza kazi zote, tena biashara hiyo mjomba jiandae kabla hujaenda Bongo. Nunua kamoja ukabamize! Wakikukamata sema nilikuwa naijaribu system kama kweli inafanya kazi. Heeee heeee heeee!
 
Mzee Mwanakijiji,

kama alivyosema Yebo Yebo, data base ni muhimu sana kati ya yote haya. Vitambulisho vya Canada vigumu sana kughushi kwa sababu vina ukanda ambao unatumika na vyombo vyote muhimu iwe Hospital, Polisi, ofisi za serikali na kadhalika na inasemekana record yako huwepo kila sehemu zinazohusika.

Kibaya sana US ni kwamba unaweza kupata kitambulisho halali ukiwa nyumbani yaani unamtuma mtu tu.

Kisha hapa kwetu wanao tengeneza vitambulisho ndio hao hao wanaomaliza yote na picha yako itawekwa papo kwa hapo sio kitambulisho kitengenezwe US na wakazi waombaji wapo Bongo. Hapa huoni kama mchezo ni rahisi zaidi?...
mashine ndogo sana kama ile Zebra P110i Printer inaweza kumaliza kazi zote, tena biashara hiyo mjomba jiandae kabla hujaenda Bongo. Nunua kamoja ukabamize! Wakikukamata sema nilikuwa naijaribu system kama kweli inafanya kazi. Heeee heeee heeee!

LMAO.......!!
Asipowahi mbongo, kuna wapopo tayari watawahi. Maana vinachongeka UK, Holland, you name it. Ujanja wa huku ni central database kama mzee Yebo X2 anavyosema.

Na mtu alieye na mshiko bongo akiwekeza kwenye database na credit system, bonge la bingo. sijui wamelala nini, au 10% ndio tamu pekee yake.

Yaani ni kama mtoto kukimbilia kutembea kabla hata hajatambaa. Database, Database, Database!! Bado tuko mbali!!
 
Ulimwengu wa leo hakuna kisichogushika .watu watagushi Labda viwe na kasoro fulani fulani ambazo havitapelekea kuwa karibu sana na vya kweli LAKINI KUGUSHI VITAGUSHIWA TU!
 
Matatizo yetu ni sisi wenyewe tunaweza kuyaondoa. Hakuna vitambulisho duniani ambavyo haviwezi kuwa gushed hata pesa ambayo haiweza kuchapishwa kwa urahisi zipo fake. Ni chini ya miezi kadhaa tu UK wamebadili noti ya £20.00 na wamesema itafika muda na hiyo itakuwa faked na wenye kazi hiyo. Kitu cha muhimu ni kuona kuwa mtu anayegushi akikamatwa anafanywa nini? Hilo ndio la msingi. Kutokana na record mbalimbali WTZ wengi tu wameshikwa red handed wakijifanya i.e. Police au JWTZ soldiers au kuwa na Passport za Tanzania kinyume na sheria lakini ni wangapi waliachiwa huru bila hata ya kufanywa chochote? Kitu kinachotakiwa ni kuwa na data base ambayo maofisa barabarani wanaweza ku-link up na ilikotolewa kujua ni genuine au fake na ikiwa feki ni lazima huyo mtu achukuliwe hatua ambazo zitamfanya asirudie tena.

Tatizo lingine ni sisi wenyewe kuendekeza rushwa kwa kila tunachofanya, Kazi haina heshima kwani mtu anafahamu kwamba kesho na keshokutwa hata akifukuzwa mambo yatamnyookea. Hivi vitambulisho vitasaidia mambo mengi i.e. mikopo katika benki n.k. Swali ni lini vitaanza kutolewa na vitagharimu kiasi gani kwa mlalahoi? Nafahamu bajeti ya awali ilikuwa $70 million.
 
Mzee Mwanakijiji,

kama alivyosema Yebo Yebo, data base ni muhimu sana kati ya yote haya. Vitambulisho vya Canada vigumu sana kughushi kwa sababu vina ukanda ambao unatumika na vyombo vyote muhimu iwe Hospital, Polisi, ofisi za serikali na kadhalika na inasemekana record yako huwepo kila sehemu zinazohusika. Kibaya sana US ni kwamba unaweza kupata kitambulisho halali ukiwa nyumbani yaani unamtuma mtu tu.

Kisha hapa kwetu wanao tengeneza vitambulisho ndio hao hao wanaomaliza yote na picha yako itawekwa papo kwa hapo sio kitambulisho kitengenezwe US na wakazi waombaji wapo Bongo. Hapa huoni kama mchezo ni rahisi zaidi?...
mashine ndogo sana kama ile Zebra P110i Printer inaweza kumaliza kazi zote, tena biashara hiyo mjomba jiandae kabla hujaenda Bongo. Nunua kamoja ukabamize! Wakikukamata sema nilikuwa naijaribu system kama kweli inafanya kazi. Heeee heeee heeee!

Duh Hii kali unaweza kupata kitambulisho ukiwa nyumbani...?I hope u meant kurenew, maana kwa sasa US kupply kitambulisho kipya inabidi uwe na Bith certficate/Passport na SSN(US Citizen) na foreigners inabidi uwe na Valid Visa then wanatuma request Immigration for verification wakishapata majibu wanakutumia kwenye mail, Expiration Date ya kwenye ID/Dl ni ile ambayo Visa yako inaexpire.

Kuhusu kutengeneza fake, hilo linawezekana lakini swali utatumia hicho kitambulisho kwenye sehemu wanayoitaji verification I.e Background check? maana kama ID number haimatch na SSN that means hakiko kwenye System, utatumia kuingilia club na kununulia pombe labda, not any place where they need to run a check
 
Icadon, naona wewe unazungumzia Passport...

Nazungumzia ID/Driver's License. list ya what they want upon issuance of ID or DL.

To obtain a Georgia driver's license or identification card, a non US citizen must present one of the following immigration documents that prove legal presence in the US:

1. Valid (not expired) passport with I-94 or I-551
2. Temporary resident alien card
3. Permanent resident alien card
4. Employment Authorization Card

A Georgia driver's license or identification card may be issued with an expiration date that matches the immigration documentation expiration date, but no longer than 5 years. If there is no expiration date on the immigration documentation, a license/identification card can only be issued for a period of 1 year. The cost of the license/ID is $20.

A non US citizen must present their immigration documentation every time service is requested pertaining to a driver's license or identification card. This includes renewal, replacement or name and address changes, as well as all other transactions performed by Georgia Department of Driver Services.

New residents applying for a license or permit must show some acceptable form of personal identification that includes full name, month, day and year of birth. After verification of full name and date of birth, documents will be returned immediately to the licensee. The following items are acceptable but must be Original or a Certified Copy:

* Original birth certificate (State issued) State Vital Statistics (Hospital birth certificates are not acceptable).
* Certified copy of birth certificate (Issued by Vital Statistics with affixed seal)
* Certificate of birth registration
* Certified copy of court records (adoption, name changes, divorce, etc.)
* Certified naturalization records
* Immigration I.D. card Immigration and Naturalization
* Valid Passport
* Military identification card issued by the United States armed forces.


In addition to providing personal identification, all applicants must provide proof that he/she is either a United States citizen or an alien with legal authorization from Immigration and Naturalization Service.


Ukiangalia State zote requirements ziko sawa, and some states do the verification with SSA ukiwepo. Hii sheria mpya nadhani imeanza between jan 2004 na july 2005
 
Icadon,
Wabongo vipi jamani lakini?...

Mbona imekuwa kutazama neno la mtu kutafuta kosa badala ya kusoma ujumbe na kuuelewa?..
Nadhani huko nyuma nimesema vizuri kwamba serikali ya Marekani imefanya vikao kibao kuthibiti vitambulisho vyake. Kwa hiyo hapa swala ni hivyo ambavyo vilikuwa vikitolewa na Digimarc kwamba vinaghushika na mifano ipo wazi kwetu wote tuliowahi kuishi Marekani. Kweli Vitambulisho vilikuwa vinatoka ukiwa nyumbani na bado watu wanaghushi, sasa sielewi hili la kukataa na mshangao linatoka wapi?...

Muhimu tuzungumze maamuzi yetu kuhusu Digmac (NJE) ambao watatengeneza vitambulisho vyetu hali wananchi wanaokusudiwa wapo Bongo. Nini Solution? Tunasema data base ndio solution na vitambulisho sii lazima kutengenezwa na kampuni kubwa toka nje ikiwa umuhimu wa vitambulisho ni data base.
 
Kama Pass Mpya zinagushika ni hivi vitambulisho.

Tanzania tuna tatizo moja nalo ni kufanya kila kitu bila kufikiria miaka ijayo.

Mfano si mwaka 2005, walitoka na Permanent Voter Registration (PVR) na watu tayari wana vitambulisho vya kupigia kura?

Nadhani kitu cha kwanza cha kufanya ni kutoa Vyeti vya Kuzaliwa visivyogushika.

Hapa mnachanganya mambo, tatizo la Tanzania siyo kugushi, vyeti vya kuzaliwa, passport na taja chochote huwa ni halali kabisa. Tatizo letu ni namna vinavyopatikana. Ukiweza kuwaona wahusika kisha ukazama mfukoni unapata cheti/pass halali kabisa.

Kuanza kufikiria kutengeneza vitu visivyogushika ni kukwepa tatizo lilopo mbele yetu. Kwa nini mtu ataka kitu cha kugushi wakati anaweza kupata original document?
 
Hapa mnachanganya mambo, tatizo la Tanzania siyo kugushi, vyeti vya kuzaliwa, passport na taja chochote huwa ni halali kabisa. Tatizo letu ni namna vinavyopatikana. Ukiweza kuwaona wahusika kisha ukazama mfukoni unapata cheti/pass halali kabisa. Kuanza kufikiria kutengeneza vitu visivyogushika ni kukwepa tatizo lilopo mbele yetu. Kwa nini mtu ataka kitu cha kugushi wakati anaweza kupata original document?


Tabasamu

You are right....HAKUNA TECHNOLOGY DUNIANI ITAKAYOTUONDOLEA RUSHWA.

Tumalize rushwa sisi wenyewe na ndipo tutumie technology kuharakisha maendeleo yetu.

Hata tuwe na Database iliyotengenezwa mbinguni...ni lazima kutakuwa na Database Administrator ambaye ni BINADAMU atakayehusika na kuweka/kutoa data kwenye hiyo database...huyu BINADAMU akipokea rushwa then ANYTHING IS POSSIBLE.

Safari ni ndefu sana....tunataka kukimbia kabla ya kutambaa.
 
tabasamu,
nadhani tunachozungumzia hapa ni uwezo wa watu kuweza kughushi vitambulisho hivi vya upigaji kura ambavyo vitatengenezwa na kampuni ya nje.

Sasa kama hatutaweza kuhakikisha kwamba vitambulisho hivyo haviwezi kutolewa vya kughushi nadhani tutakuwa na tatizo jingine huko mbele tuendako - 2010, kisha tutaanza kushikana mashati. lakini kama tutakuwa na Database ya vitambulisho vyote ikiwa ni pamoja na Pasi hii itasaidia sana mambo mengi.

Zaidi ya hapo hili ni domo tindi tu tukitazama kila sehemu zinazohusika na maswala ya vyeti ama vitambulisho.
 
tabasamu,
Sasa kama hatutaweza kuhakikisha kwamba vitambulisho hivyo haviwezi kutolewa vya kughushi nadhani tutakuwa na tatizo jingine huko mbele tuendako - 2010, kisha tutaanza kushikana mashati..


Huko mbele hatutashikana mashati, tutakuwa na sababu nzuri tu ya kutumia Mil 73 zingine ili kupata vitambulisho vingine bora zaidi. Great plan-
 
Kuna habari za kuaminika kuwa mtoto wa kwanza wa Lowassa anayeitwa ALFA amepewa tender ya kutengeneza vitambulisho vya uraia.

Tenda hiyo ambayo ameipata kupitia mlango wa nyuma kwani haikutangazwa wala haikufuata masharti ina dhamani ya shilingi billioni 72.

Jamani kwa mtindo huu je tutafika?

Waziri wa mambo ya ndani atalipelekea bunge kupitisha kiasi hicho cha fedha na kuilipa familia ya Lowassa.

Hizi nimezipata kutoka chanzo cha ndani wizara ya fedha.naendelea na upelelezi wangu zaidi.
 
haya tunasubiri taarifa zaidi.
inamaana huyo alfa kapewa hiyo tenda kupitia
kampuni yake ama? kama ndivyo, hiyo kampuni ilianzishwa lini
na wakurugenzi wake wengine ni akina nani?
 
haya tunasubiri taarifa zaidi.
inamaana huyo alfa kapewa hiyo tenda kupitia
kampuni yake ama? kama ndivyo, hiyo kampuni ilianzishwa lini
na wakurugenzi wake wengine ni akina nani?

Ndio imetoka hiyo..... ikirudi pancha!!!
 
Sahihisho. si ALFA ni ALPHA na pia si mtoto wake ni kampuni yake na familia yake. Mtoto wake anayejitokeza kila mahali anaitwa Fred, sasa kama hiyo kampuni imepewa, hapo ndipo tunaanza kuona ni kwanini watu wanamtetea Mkapa, wanajua baada yake ni wao
 
Back
Top Bottom