Mkuu Mimi naangalia!Jamani leo hamuangalii Nigeria vs Bongo.. Hadi sasa ni 0-0 Bongo inashambuliwa kama mwizi uswahilini.
Hamna cha kukaza hapa. Ni muda tu tutafungwa, tunapoteza mipira na pia hatuonani. Nigeria is way better.Mkuu Mimi naangalia!
Vijana wanakaza safi sana!
link wakuudk 35 NRG 0 Tz 0
link wakuu
Mkuu kuna chanel inaitwa Beinsport kama unaweza kuipata.link wakuu
asante sanaFirstrowsports.me afu tafuta mechi
Mkuu unaangalia kupitia Chanel gani?? Kama Ni hii supersport 3 huyo sio Mzungu! Ni mnaijeria huyo!!Nampa pongezi huyu Mzungu (Britain) kwa kujaribu kuyatamka majina yetu vizuri. Angekuwa Mmarekani angeyadedisha. Kati ya watu wasioweza kujifunza lugha nyingine duniani hasa za Kiafrika kwa ufanisi ni Wamarekani.
asanteMkuu kuna chanel inaitwa Beinsport kama unaweza kuipata.
Mkuu unaangalia kupitia Chanel gani?? Kama Ni hii supersport 3 huyo sio Mzungu! Ni mnaijeria huyo!!