chazymseri
Senior Member
- Oct 28, 2010
- 139
- 28
Haya tena yale yalee 3-0 nafikiri tuna gundu
Timu yetu ya taifa leo imefundishwa mpira na Algeria kuwa kuipgwa 7-0! Hii ni rekodi.Sijawahi ktk akili zangu timamu kuwahi kusikia Tz ikipata kisago cha aina hii. Sote tunawajibika lakni wewe ni zaidi.
Kwa mtazamo wangu wewe mwalimu wetu, .
Tutafute madogo 50 under 17 tuwalipie ada huko ulaya kwenye soccer academy!!
Kati ya hao 50 ,ndani ya miaka 4 hatuwezi kukosa wachezaji 11 wa maana.
Tutafute madogo 50 under 17 tuwalipie ada huko ulaya kwenye soccer academy!!
Kati ya hao 50 ,ndani ya miaka 4 hatuwezi kukosa wachezaji 11 wa maana.
Bein sportMechi ya leo itaonyeshwa na tv gani