Nashangaa ni rais tu anapata ma tuzo kila mara sijui ya nini lkn raia hawapati.
kule commonwealth tumeboronga. taifa stars tumeboronga. Wakati Kenya kuna kalenda ya michezo huku kwetu watu wa kwenda kushindana na USAIN BOLT wamekaa kambini kwa mazoezi wiki mbili. I ask myself is Mr. Filbert Bayi doing this delibarately or kuna kitu imefichamana. IF YOU DO NOT PLAN. SURELY YOU PLAN TO FAIL.
Nilikuwa namuona Kim Poulsen alipokuwa anatupeleka. Falsafa yake ilikuwa wazi. Lakini watu wakamfukuza kwa madai ya kwamba alifeli michuano ya Chalenji. Michuano ambayo licha ya kwamba tumechukua mara tatu hatujawahi kuingia katika orodha ya nchi 70 bora katika soka duniani.
i
nimeumia sana baada ya rafiki yangu mganda kuniambia "Tanzania national team is worst in east africa''
katika hali ya kutaniana alisema hivo ila alichokisema kilinigusa sana,heri hata taifa star ipunzishwe kwanzaukweli unauma hii timu ugonjwa wa moyo
Mechi dhidi ya ya Benin tiket nanunuaje?
hali mbaya ya ebola siara lion nchi ambaye imepakana na benin na nyie mnaing'ang'ania kucheza na nchi hiyo kwa habari za bbc walitaka kufunga mipaka lakini nchi za magharibi zimekataa kwa maana hiyo siarleon wanaingiliana na benin