Me maoni yangu nadhani watz sisi wenyewe ndo tunao uwezo wa kuamua kama jirani zetu RWANDA WALIVYOBAILIKA ingawa kwa nchi kama Tz, wanajamii wengi upeo na uelewa ni mdogo sana. Mfano wanafunzi kukaa kwenye ndoo hizi shule za kata?? Ni kweli pesa ya kutengeneza dawati hamna kweli?/Pia sasa tumekopeshwa Dola billion 400 na IMF jana TBC wamenena?? je hizi pesa kwa haraka haraka zikitumika ipasavyo si Tz tuaenda mbele au ndo maandaliza ya UCHAGUZI 2010.
Pia Wapinzani wenzangu tuungane ili iwe dawa kwa nchi yetu otherwise itakuwa ngumu maana watz wetu wengi hawana upeo kama nchi za Uganda, Kenya na Nyingine nyingi.
Nani anasoma vyombo vya habari?? Nadhani hakuna?? Nani anajua kama chadema walipata kula nyingi mjini huko BUSANDA je tatizo ni vijijin?? Pia TV zetu mbona Kituo kimoja tu ndo kinakemea haya ya wizi wa pesa za UMMA??
Wengine wanahofia ajira zao au wanaogopa kufungiwa???
Mfana ITV wanajitahd kwa kweli, TBC hoi, Ch10 ndo ovyo??, Star tv hawana jipya?? wengine hawapo ni bongo fleva tu?? TV zetu zikielemisha na kutumia muda mwingi kusema watu wanaokinzana na uroho wa pesa za UMMA??
FISADI ni nani?? wewe sio fisadi?? Wangapi wamefanikiwa bila ufisadi?? Wangapi wanataka utajiri wa muda mfupi??
TUISHUKURU ITV na MAGAZETI YA WADAU WANAOUNGA MKONO??
Serikali ilianzisha website ya kutoa maoni Wtz, Je inatumika??
Iligharimu kiasi gani?? Na wangapi wanaijua??
Ukilipwa milion 7 kwa mwezi na ukaanzisha biashara yako ya kwaida tu na ukaweza kuendelee kimaisha na jamaa zako?? Kuna haja ya kuiba tena au kupata rushwa??
JIULIZE???
TOA MAONI YAKO???
Pia Wapinzani wenzangu tuungane ili iwe dawa kwa nchi yetu otherwise itakuwa ngumu maana watz wetu wengi hawana upeo kama nchi za Uganda, Kenya na Nyingine nyingi.
Nani anasoma vyombo vya habari?? Nadhani hakuna?? Nani anajua kama chadema walipata kula nyingi mjini huko BUSANDA je tatizo ni vijijin?? Pia TV zetu mbona Kituo kimoja tu ndo kinakemea haya ya wizi wa pesa za UMMA??
Wengine wanahofia ajira zao au wanaogopa kufungiwa???
Mfana ITV wanajitahd kwa kweli, TBC hoi, Ch10 ndo ovyo??, Star tv hawana jipya?? wengine hawapo ni bongo fleva tu?? TV zetu zikielemisha na kutumia muda mwingi kusema watu wanaokinzana na uroho wa pesa za UMMA??
FISADI ni nani?? wewe sio fisadi?? Wangapi wamefanikiwa bila ufisadi?? Wangapi wanataka utajiri wa muda mfupi??
TUISHUKURU ITV na MAGAZETI YA WADAU WANAOUNGA MKONO??
Serikali ilianzisha website ya kutoa maoni Wtz, Je inatumika??
Iligharimu kiasi gani?? Na wangapi wanaijua??
Ukilipwa milion 7 kwa mwezi na ukaanzisha biashara yako ya kwaida tu na ukaweza kuendelee kimaisha na jamaa zako?? Kuna haja ya kuiba tena au kupata rushwa??
JIULIZE???
TOA MAONI YAKO???