zeus
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 213
- 55
wana JF kama unafuatlilia kauli za viongozi wetu kuhusu mambo ya msingi ya nchi yetu,
kama vile msimamo wa serikali juu ya rushwa, ufisadi, ajali za barabarani, mafuta, serikali za mitaa, n.k......
utakubaliana na mimi kuwa hawana dhamira ya kweli ya kuleta mabadiliko au hawaamini katika kile wanachosema
mara nyingi utasikia:
Pinda awataka wakurugenzi kuacha ufisadi.......
Waziri awataka wafanyabiaashara kutouza mahindi njee ya nchi
Waziri aagiza majangili waache kuvuna pembe za ndovu.......
Sumatra yawataka wauza mafuta kuacha uchakachuaji......
Igp aagiza madereva daladala kuzingatia sheria.......
Kikwete aapa kuwatoa kafara wala rushwa...JK aapa kuwatoa kafara wala rushwa
Tamisemi yaagiza kuacha ujenzi holela....HabariLeo | TAMISEMI yaagiza ujenzi holela ukome
hivi kwa nini wasiwachukulie hatua hao wanawaojua kukiuka sheria na taratibu badala ya kuwataka. kwa sababu wanawajua wapo kwa nini wasiwachunguze na kuwachukulia hatua mara moja badala ya kuanza matisho,.Bora tungekuwa tunasikia Pinda wadaka mafisadi, jk aagiza xx achunguzwe au akamatwe kwa rushwa. sumatra yafuta leseni za dalaladala korofi, .....
kama vile msimamo wa serikali juu ya rushwa, ufisadi, ajali za barabarani, mafuta, serikali za mitaa, n.k......
utakubaliana na mimi kuwa hawana dhamira ya kweli ya kuleta mabadiliko au hawaamini katika kile wanachosema
mara nyingi utasikia:
Pinda awataka wakurugenzi kuacha ufisadi.......
Waziri awataka wafanyabiaashara kutouza mahindi njee ya nchi
Waziri aagiza majangili waache kuvuna pembe za ndovu.......
Sumatra yawataka wauza mafuta kuacha uchakachuaji......
Igp aagiza madereva daladala kuzingatia sheria.......
Kikwete aapa kuwatoa kafara wala rushwa...JK aapa kuwatoa kafara wala rushwa
Tamisemi yaagiza kuacha ujenzi holela....HabariLeo | TAMISEMI yaagiza ujenzi holela ukome
hivi kwa nini wasiwachukulie hatua hao wanawaojua kukiuka sheria na taratibu badala ya kuwataka. kwa sababu wanawajua wapo kwa nini wasiwachunguze na kuwachukulia hatua mara moja badala ya kuanza matisho,.Bora tungekuwa tunasikia Pinda wadaka mafisadi, jk aagiza xx achunguzwe au akamatwe kwa rushwa. sumatra yafuta leseni za dalaladala korofi, .....