Tanzania na Uganda ndio nchi pekee zilizopigana vita Africa

Sangarara

JF-Expert Member
Sep 29, 2011
13,100
5,649
Ukiacha hivi vimashambulizi vya kuviziana viziana vya baina ya nchi ambazo hapo mwanzo zimewahi kuwa nchi moja kabla ya kamoja kujitenga.

Niko tayari kusahihishwa, lakini kumbukumbu zangu zinaonyesha kwamba hakuna nchi nyingine ambazo zimepata kuingia vitani katika namna ambayo kila mwananchi anawajibika kupigana kama ilivyotokea wakati wa vita kati ya Tanzania na Uganda.

Au la! tuviite vita kati ya Tanzania na Iddi Amini sababu kuna ushahidi kwamba Waganda hawakushiriki vita vile katika namna ambayo watanzania walishiriki au walihamasishwa kushiriki.

Mwenye kumbukumbu sahihi aniweke sawa.
 
Libya vs Tchad, Ethiopia vs Somalia (fighting over Ogaden province), Ethiopia vs Eritrea
 
libya vs chad, the congo and zimbabwe on one side vs uganda and rwanda on the other side! ethiopia vs eritrea! camon usipende onyesha ufinyu wako wa historia!
 
libya vs chad, the congo and zimbabwe on one side vs uganda and rwanda on the other side! ethiopia vs eritrea! camon usipende onyesha ufinyu wako wa historia!

Nakubaliana na ufinyu wangu wa historia, sababu hakuna mtu anaweza akajua kila kitu, lakini nachelea usije ukawa unarefer kwenye tumashambulizi twa kuvizia viziana huku kila mmoja akisema hoo nchi yangu inashambuliwa.

Namaanisha vita kwa maana ya kwamba, Rais anatangaza NCHI YETU IKO VITANI na vita vikaisha baada ya Taifa Moja au Majeshi ya Taifa moja kushindwa na baada ya hipo zisisikike chokochoko zingine za kivita zaidi ya propaganda za wanasiasa tu, Kama ilivyokuwa kwa Tanzania na Uganda, au NATO na SADAMU HUSSEIN.

Sababu hiyo unayorefer kama Vita ya Rwanda na Uganda, Mseven never declared war, Hivyo vya Libya na Chad pia sio kitu nachorefer mimi sababu kuna sort of civilian war ilikuwa ikiendelea CHAD na ghadafi kama kawaida yake alikuwa anaback up upande mmoja, similar to kind of what happened in what you refer to as Uganda - Rwanda war, these were mere conflicts, Unless useme kama ni hivyo hata Tanzania Fought Idd Amini not Uganda sababu Civilian Ugandan never wanted that war. if am correct. Nadhani unanielewa.
 
Nakubaliana na ufinyu
wangu wa historia, sababu hakuna mtu anaweza akajua kila kitu, lakini
nachelea usije ukawa unarefer kwenye tumashambulizi twa kuvizia viziana
huku kila mmoja akisema hoo nchi yangu inashambuliwa.

Namaanisha vita kwa maana ya kwamba, Rais anatangaza NCHI YETU IKO
VITANI na vita vikaisha baada ya Taifa Moja au Majeshi ya Taifa moja
kushindwa na baada ya hipo zisisikike chokochoko zingine za kivita zaidi
ya propaganda za wanasiasa tu, Kama ilivyokuwa kwa Tanzania na Uganda,
au NATO na SADAMU HUSSEIN.

Sababu hiyo unayorefer kama Vita ya Rwanda na Uganda, Mseven never
declared war, Hivyo vya Libya na Chad pia sio kitu nachorefer mimi
sababu kuna sort of civilian war ilikuwa ikiendelea CHAD na ghadafi kama
kawaida yake alikuwa anaback up upande mmoja, similar to kind of what
happened in what you refer to as Uganda - Rwanda war, these were mere
conflicts, Unless useme kama ni hivyo hata Tanzania Fought Idd Amini not
Uganda sababu Civilian Ugandan never wanted that war. if am correct.
Nadhani unanielewa.

Mnahangaika tu, nchi imewashinda kuongoza mnataka kusingizia vita ya mwaka 1978!
Rwanda waliuana mamilioni juzi tu wamesahisha makosa yao wametupita. Ujinga mtupu!
 
Mnahangaika tu, nchi imewashinda kuongoza mnataka kusingizia vita ya mwaka 1978!
Rwanda waliuana mamilioni juzi tu wamesahisha makosa yao wametupita. Ujinga mtupu!
Mkuu ukiwa waziri wa elimu si utafuta somo la historia wewe??
 
Back
Top Bottom