KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 86
binafsi kama kada NISINGENYONGA HATA MMOJA, SERIOUSLY ! i just dont believe in such a thing as kuua ili kulinda sheria, wakati sheria hiyo hiyo imetengenezwa na mwanadamu ambaye ameumbwa na Mungu leo hii binadamu atoe kile Mungu alichompa binadamu kwa kuvunja alichotengeneza binadamu does not come up in my mind !