hayaland
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 712
- 399
hivi ni kweli taifa hili litapiga hatua ya mbele zaidi katika swala zima la maenfeleo kwani tunazidiwa na vitaifa vidogo mfano mmojawapo ni RWANDA.Taifa limepoteza zaidi ya nguvu kazi isiyopungua watu laki saba lakini taifa hilo linashika mafasi za juu katika afrika pamoja na vita vya wenyewe kwa wenyewe.wana ndege kama 7 kubwa.namalizia kwa kusema vitkkkkamani aisadii bila mshikamsni hakuna