Inawezekana kabisa iwapo tuta weza kuwa na siasa safi, uongozi thabiti, wananchi walioelimika, kufufua viwanda vyetu, kuwa na mikataba yenye tija kwa taifa, kuongeza fulsa za ajira kwa vijana, kutokomeza rushwa ujinga na magonjwa,kuwapa vipaumbele wawekezaji wazalendo, kuondoa ukilitimba wa kuwaajili wageni hata kwa nafasi ambazo wananchi wetu wanauwezo nazo, kupeleka wataalum wetu nje kuongeza elimu,ku....ku...ku...ku....