OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
Hatuhitaji misaada au mikopo
1.Migodi ya madini-dhahabu, tanzanite, almas uranium taja list yote
2.Ardhi-kubwa yenye rutuba
3.Maji-bahari, maziwa makuu, mito, maji chini ya ardhi etc
4.Mlima mrefu zaidi Africa-Kilimanjaro
5.Mbuga za Wanyama-serengeti,ngorongoro,selous, mikumi, momela taja zilizobaki
6.Rasimali watu-takriban watu million 45
7.Hali ya hewa safi
8. Amani na Utulivu
9.Bandari-Tanga, DAR, Lindi, Mtwara, Bagamoyo, Zanzibar etc
Kukiwa na nidhamu na usimamizi wa hayo Tanzania inatakiwa iwe miongoni mwa G8 lakini ufisadi, wizi, ujinga, upumbavu, kukosa uzalenda, ubinafsi tumeshindwa kutumia vyote hivo na sisi ndio ombaomba nambari one Duniani!
1.Migodi ya madini-dhahabu, tanzanite, almas uranium taja list yote
2.Ardhi-kubwa yenye rutuba
3.Maji-bahari, maziwa makuu, mito, maji chini ya ardhi etc
4.Mlima mrefu zaidi Africa-Kilimanjaro
5.Mbuga za Wanyama-serengeti,ngorongoro,selous, mikumi, momela taja zilizobaki
6.Rasimali watu-takriban watu million 45
7.Hali ya hewa safi
8. Amani na Utulivu
9.Bandari-Tanga, DAR, Lindi, Mtwara, Bagamoyo, Zanzibar etc
Kukiwa na nidhamu na usimamizi wa hayo Tanzania inatakiwa iwe miongoni mwa G8 lakini ufisadi, wizi, ujinga, upumbavu, kukosa uzalenda, ubinafsi tumeshindwa kutumia vyote hivo na sisi ndio ombaomba nambari one Duniani!