MPAMBANAJI.COM
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 712
- 331
Tanzania imeweka sheria zinazowabana ombaomba wa barabarani(baadhi ya Raia wake) sababu muhimu ikiwa ni kwamba kwa kuwasaidia ni kuhamasisha tabia hii.
Suala hapa na Tanzania iwekewe sheria maalumu na Nchi wahisani pamoja na mashirika za kuikataza Serikali kuomba kwao ili kuzuia au kupunguza tabia ya kutegemea misaada? Na je Tanzania kuombaomba misaada kwa Nchi wahisani ni sawa na omba omba wa barabarani?
Suala hapa na Tanzania iwekewe sheria maalumu na Nchi wahisani pamoja na mashirika za kuikataza Serikali kuomba kwao ili kuzuia au kupunguza tabia ya kutegemea misaada? Na je Tanzania kuombaomba misaada kwa Nchi wahisani ni sawa na omba omba wa barabarani?