Giddy Mangi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 830
- 184
Madini yote Tanzania,Mbuga za wanyama Tanzania,Mlima mrefu Afrika Tanzania,Rais mwizi mchakachuaji asiye na aibu,mbinafsi,malaya,mwoga,fisadi na mnafiki Tanzania,Samaki wa maji baridi na maji chumvi Tanzania,Mafuta,gesi Tanzania,Dawa ya maradhi hatari zaidi kama Kisukari,Saratani,BP,UKIMWI Tanzania.MUNGU anatupenda sana Tanzania,uongozi tuu ndio mbaya Tanzania