AMANIPARTY
Member
- Jun 2, 2011
- 15
- 7
- Thread starter
- #21
Hatuchagui sera (hiyo ya kila chama ni nzuri kwasababu ni marketing tool)
Tunachagua mtu makini na muungwana mpenda haki..
Tumefurahi sana kupata michango na mawazo yenu.. Ninyi ni watu Muhimu sana na mbegu za taifa Hili. Tutaendelea kuhakikisha kwamba mbele linapokuwepo jiwe basi tuangalie na kisiki kitachofuata.