nazarius paul
Member
- Sep 10, 2009
- 10
- 0
Rombo ni takribani kilometa 90 toka kiwanda cha sukari TPC MOSHI. Iz it fea? Nawasilisha....!
Baada ya kikao cha Bunge usishangae kilo ya sukari ikafika 3000/=
asante kwa taarifa na njia ya kutunza maana matumizt ya frigde kwa tanzania ni magumu kwani hatuna umemeUnafuata mgao wa Kitimoto. Wale wapenda kitimoto wanunue cha kutosha wahifadhi kwenye mafridge yao au wakaushe kwa moshi!