Tanzania loses battle over Serengeti road project

Mkuu.ningekuwa na maumuzi.nchi hii Wakenya wote na wahindi ndio ningeanza nao.then wakongoman
...Ukishawaondoa hao wote, utapata faida gani?

...Hii ni nchi yetu, si ya Wakenya. Hivyo lolote linalotokea hapa ni juu yetu sisi wenyewe si wao. Kwani, kuna mtu katusimamia na silaha mgongoni tusijenge hiyo barabara?. Kama kuna justification sioni haja ya kuhangaika na mtu yeyote. We just go ahead and build it. Tell me, who will stop us, if its justified?

...Kwenye suala la meno ya tembo, we lost the argument, and thats all. We were ill prepared, and the timing could have been wrong.
 
mradi ule ilishauriwa upite simiyu badala ya ndani ya hifadhi,
tatizo nchi hii haitumii wataalamu wake katika maamuzi, sasa magufuli anajua uhifadhi?
wanataka wafanye serengeti kama mikumi ambapo maelfu ya wanyamapori wanagongwa kila mara? bravo kenya...
 
Sasa kama hata mlima kilimanjaro wanasema uko.kwao.siku.zote na sisi.hatajachukua hatua tufanyeje
mkuu Makupa,wao wanajitangaza njoo Kenya uone mlima Kilimanjaro,jambo ambalo siyo uwongo,ukiwa Kenya unauona mlima Kilimanjaro. Sisi tujitangaze njoo Tanzania upande mlima Kilimanjaro. Je tunajitangaza ama tumekalia maneno? Kuhusu hiyo barabara ambayo tayari serikali yetu imeisha achana na wazo la kuipitisha mbugani,niliongea na baadhi ya mawakala wazalendo na wenye makampuni ya utalii walikua wanapinga kupitishwa barabara hiyo mbugani. Kama sisi hatuna uwezo wa kuwakatalia watawala wetu basi watawala wetu wataambiwa toka nje ya mipaka yetu!
 
mradi ule ilishauriwa upite simiyu badala ya ndani ya hifadhi,
tatizo nchi hii haitumii wataalamu wake katika maamuzi, sasa magufuli anajua uhifadhi?
wanataka wafanye serengeti kama mikumi ambapo maelfu ya wanyamapori wanagongwa kila mara? bravo kenya...

Uzalendo wako.uko.chini.sana mkuu
 
kenya wangeweza kuvunjilia mbali na mikataba ya madini na barik ingetusaidia sana maana kikwete amegwaya kuivunja kama alivyotuahidi....
 
nimesoma na hawa jamaa wakenya vyuo viwili tofauti ,hawawapendi wabongo kabisaa,kama atakua rafiki yako basi kuna kitu kwako,hata kuchkua demu wa kikenya utapigwa jungu
 
Pamoja na kwamba binafsi siungi mkono ujenzi wa hiyo barabara napenda kusema na kusisitiza kuwa hili ni swala la sisi wa Tanzania kujadili na kufikia muafaka. Wakenya wanahusika vipi na barabra tunayojenga sisi ndani ya nchi yetu? Basi na NGO ya Tanzania ifungue kesi mahakama ya Afrika Mashariki kupinga ujenzi wa Lamu Port. Nilikwisha andika humu jamvini kuwa hawa Wa Kenya si rafiki zetu na hatuna uhusiano mzuri nao. Tujenge uhusiano na nchi za kusini kwetu ambao tunaheshimiana sana.
Nawakilisha.
 
Acha tuwasaidieni kufikiri nyie viumbe wa kusini mwa nchi yetu.

You have never been good at what you do.

Mulichimba madini na sasa munakaribia kuyamaliza bila ya nchi kufaidika, muekata magogo na uya export hamjali vizazi vijavyo, hamzingatii wala kujishughulisha na chochote tufanyacho nchini kwetu, mtajuaje hatari inayowajia.

Kila mtu kwenu ni politician hakuna professionals wa other field munapenda without reasoning kwa sababu ya kukata tamaa.

Wacha tuwasaidie kufikiri, but we know kile tunapata in return, tutaingia popote kulinda maslah ya wakenya, ninyi endeleeni kupiga politiki.
 
Mbona sijasikia wanamzingira wakilalamika kutokana na uharibifu takaofanywa na ujenzi wa bandari ya Lamu? Huu mji umesheni majengo mengi ya kihistoria ambayo ni hazina kubwa kwa watu wote wa EAC..
 
Acha tuwasaidieni kufikiri nyie viumbe wa kusini mwa nchi yetu.
You have never been good at what you do.
Mulichimba madini na sasa munakaribia kuyamaliza bila ya nchi kufaidika, muekata magogo na uya export hamjali vizazi vijavyo, hamzingatii wala kujishughulisha na chochote tufanyacho nchini kwetu, mtajuaje hatari inayowajia.
Kila mtu kwenu ni politician hakuna professionals wa other field munapenda without reasoning kwa sababu ya kukata tamaa.
Wacha tuwasaidie kufikiri, but we know kile tunapata in return, tutaingia popote kulinda maslah ya wakenya, ninyi endeleeni kupiga politiki.

tunashukuru mnatusaidia kufikiri lakini unajua madhara ya kumuamsha aliyelala? halafu shukrani ya punda ni mateke, halafu msisahau hao wajinga na wasiofikiri mnaowaona sasa hawatakuwepo baada ya muda. for real we are waking up and the speed that Tanzanians youth are coming with trust me we will get somewhere enough of theft and all other nonsense, and time will come when we will argue with you Kenyans with heavy points. thanks for adding more anger to Tanzanians youth to make them wake up and start to think correctly.
 
EL angekua rais ingejengwa,kwani aliweza kuupuuza mkataba wa mkoloni wa kukataza nchi za victoria kutumia yale maji
 
iyo barabara cyo wakenya wenyewe hawakuikubali hata wana mazingira wa tz na dunia kwa ujumla pia hawakuitaka.
 
mradi ule ilishauriwa upite simiyu badala ya ndani ya hifadhi,
tatizo nchi hii haitumii wataalamu wake katika maamuzi, sasa magufuli anajua uhifadhi?
wanataka wafanye serengeti kama mikumi ambapo maelfu ya wanyamapori wanagongwa kila mara? bravo kenya...

sizani kama wewe ni mtanzania.barabara inaya takiwa kujengwa niyamawe na si lami kama unavyotaka tuamini
 
Naona tumekuwa na unyonge usiokuwa na sababu, kwa kusema Wakenya kuiharibia Tanzania sio sahihi.

Uukweli uliosimama hiyo barabara kujengwa katika mbuga ya hifadhi ya serengeti itahathiri kiasi kikubwa (Ecology ) ikolojia ya wanyama wakati wa kuhama. Serikali ya Tanzania ilifikiria kwa ufupi lakini matatizo yake ni marefu sana. Wakati wa kiangazi maji ya mito inapokauka na majani kukauka, kimazingira ya hao wanyama ni lazima kuhamia kwenye mbuga za masai mara kufuata maji pamoja na chakula chao yaani majani, na mpaka wakati mvua zinapoanza kunyesha serengeti na mito kujaa maji na majani kuchipua
huo ndio unakuwa wakati wa wanyama kurudi serengeti.

Na kwa tabia hiyo ya wanyama kwenda Kenya na kurudi Tanzania kusema kweli haiwezi kuzuilika, hapo Serikali ya Tanzania ni mbinu tu waliyotumia ya kutaka kuwazuia wanyama wasiwe wanahamia Kenya, na mbinu hiyo ni sawa na kupanga mauaji ya wanyama, kwa sababu watakuwa hawana maji ya kunywa wala majani ya kula.

Na vile vile watakaojaribu kuvuka barabara watagongwa na magari, kama unavjojua madereva wetu wa bongo awamjali binadamu je kwa wanyama itakuwaje. Mimi siono kama Serikali ya Kenya ina matatizo bali wamesimamia ukweli ulivyo.
 
Pamoja na kwamba binafsi siungi mkono ujenzi wa hiyo barabara napenda kusema na kusisitiza kuwa hili ni swala la sisi wa Tanzania kujadili na kufikia muafaka. Wakenya wanahusika vipi na barabra tunayojenga sisi ndani ya nchi yetu? Basi na NGO ya Tanzania ifungue kesi mahakama ya Afrika Mashariki kupinga ujenzi wa Lamu Port. Nilikwisha andika humu jamvini kuwa hawa Wa Kenya si rafiki zetu na hatuna uhusiano mzuri nao. Tujenge uhusiano na nchi za kusini kwetu ambao tunaheshimiana sana.
Nawakilisha.
mkuu wangu KALABASH wakenya na dunia nzima inahusika kwasababu ndani ya ardhi yetu kuna urithi wa dunia Serengeti na Ngorongoro ambako hiyo barabara itapita. Ombi langu tusome na tutafute maarifa kadri iwezekanavyo,itasaidia kuondoa jazba wakati wa kujadili mambo kama haya. Ndiyo maana tunashindwa hata ktk kesi! Jaji aliyeongoza jopo la majaji wa Mahakama ya EAC ni Mtanzania. Tena jaji kweli siyo hawa tunao waona ktk mahamaka zetu siku hizi.
 
Back
Top Bottom