JESCA NDOSI
New Member
- Jan 4, 2012
- 2
- 0
hellow, would any one pls post a TANZANIA LABOUR ACT for me in WORD FORMAT? I badly need it. thanks.
Nadhani unahitaji kitu kinachoitwa ELRAyaani Employment and Labor Relation Act ya mwaka 2004, ambayo ndio inatumika hadi sasa. Kimsingi sheria hii ni pana mno na ina sehemu zaidi ya kumi na sehemu ndogo ndogo nyingi sana. Sasa ugesema ni kipengele kipi hasa unahitaji kujua au kama ni sheria yote kwa ujumla wake ningekushauri uende duka la vitabu la serikali utaipata kwa gharama nafuu.
hellow, would any one pls post a TANZANIA LABOUR ACT for me in WORD FORMAT? I badly need it. thanks.