Tanzania: Kuuwawa kwa watu kutokana na imani ya kishirikina

Kakke

JF-Expert Member
Dec 4, 2010
1,883
1,482
AUDIO | DW.DE


[h=1][/h] Makundi ya wanaharakati ya haki za binaadamu nchini Tanzania yanasema kiasi ya watu 3000 wameuwawa nchini humo kutokana na imani ya kishirikina katika kipindi cha mwaka 2005 hadi 2011.
0,,15455349_4,00.jpg
Watu wengi wameuwawa kutokana na ushirikina

Kwa mujibu ya ripoti ya haki za binadamu iliyotolewa na Kituo cha Haki za Binaadamu na Msaada wa Sheria kwa wastani watu 500 wanauwawa kila mwaka. Sudi Mnette alimuuliza Msemaji wa Jeshil la Polisi nchini Tanzania Mrakibu Msaidizi Advera Senoso kwa nini hali imeendelea kuwa hivyo?#
(Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)
Mwandishi: Sudi Mnette
Mhariri:Abdul-Rahman,Mohammed





[h=4]Sauti na Vidio Kuhusu Mada[/h]
[h=2]Sikiliza mazungumzo kati ya Sudi mnette na Advera Senoso[/h]

[h=4]Mengi zaidi kutoka kigawe hiki[/h]
 
AUDIO | DW.DE


[h=1][/h] Makundi ya wanaharakati ya haki za binaadamu nchini Tanzania yanasema kiasi ya watu 3000 wameuwawa nchini humo kutokana na imani ya kishirikina katika kipindi cha mwaka 2005 hadi 2011.
0,,15455349_4,00.jpg
Watu wengi wameuwawa kutokana na ushirikina

Kwa mujibu ya ripoti ya haki za binadamu iliyotolewa na Kituo cha Haki za Binaadamu na Msaada wa Sheria kwa wastani watu 500 wanauwawa kila mwaka. Sudi Mnette alimuuliza Msemaji wa Jeshil la Polisi nchini Tanzania Mrakibu Msaidizi Advera Senoso kwa nini hali imeendelea kuwa hivyo?#
(Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)
Mwandishi: Sudi Mnette
Mhariri:Abdul-Rahman,Mohammed





[h=4]Sauti na Vidio Kuhusu Mada[/h]
[h=2]Sikiliza mazungumzo kati ya Sudi mnette na Advera Senoso[/h]

[h=4]Mengi zaidi kutoka kigawe hiki[/h]

Watanzania kimyaaaaaaa!
 
Sina uhakika sababu za watz kuendelea kuchinjana sababu za ushirikina!!!!
Haya ndio matunda ya kulea ujinga miongoni mwa watanzania!!!!
Hebu fikiria,idadi ya watanzania wasio jua kusoma wala kuandika inazidi kuongezeka!!!!!Mwisho wa haya yote ndio haya!!!!
 
Back
Top Bottom