Kakke
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 1,883
- 1,482
AUDIO | DW.DE
[h=1][/h] Makundi ya wanaharakati ya haki za binaadamu nchini Tanzania yanasema kiasi ya watu 3000 wameuwawa nchini humo kutokana na imani ya kishirikina katika kipindi cha mwaka 2005 hadi 2011.
Watu wengi wameuwawa kutokana na ushirikina
Kwa mujibu ya ripoti ya haki za binadamu iliyotolewa na Kituo cha Haki za Binaadamu na Msaada wa Sheria kwa wastani watu 500 wanauwawa kila mwaka. Sudi Mnette alimuuliza Msemaji wa Jeshil la Polisi nchini Tanzania Mrakibu Msaidizi Advera Senoso kwa nini hali imeendelea kuwa hivyo?#
(Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)
Mwandishi: Sudi Mnette
Mhariri:Abdul-Rahman,Mohammed
[h=4]Sauti na Vidio Kuhusu Mada[/h]
[h=2]Sikiliza mazungumzo kati ya Sudi mnette na Advera Senoso[/h]
[h=4]Mengi zaidi kutoka kigawe hiki[/h]
[h=1][/h] Makundi ya wanaharakati ya haki za binaadamu nchini Tanzania yanasema kiasi ya watu 3000 wameuwawa nchini humo kutokana na imani ya kishirikina katika kipindi cha mwaka 2005 hadi 2011.
Kwa mujibu ya ripoti ya haki za binadamu iliyotolewa na Kituo cha Haki za Binaadamu na Msaada wa Sheria kwa wastani watu 500 wanauwawa kila mwaka. Sudi Mnette alimuuliza Msemaji wa Jeshil la Polisi nchini Tanzania Mrakibu Msaidizi Advera Senoso kwa nini hali imeendelea kuwa hivyo?#
(Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)
Mwandishi: Sudi Mnette
Mhariri:Abdul-Rahman,Mohammed
- Tarehe 30.05.2012
- TumaSendFacebookTwittergoogle+ZaidiDiggNewsvinedel.icio.us
- Feedback: Send us your opinion
- ChapishaChapisha ukurasa huu
[h=4]Sauti na Vidio Kuhusu Mada[/h]
[h=2]Sikiliza mazungumzo kati ya Sudi mnette na Advera Senoso[/h]
[h=4]Mengi zaidi kutoka kigawe hiki[/h]