Tanzania kushirikiana kijeshi na Iran

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,474
39,987
Kati ya Waziri wa Tanzania au wa Iran mmoja wao amelidanganya taifa lake:

Hivi ndivyo imeripotiwa:

Mwandishi Wetu
Daily News; Friday,January 30, 2009 @21:15

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Dk. Hussein Mwinyi amefafanua kwamba ushirikiano unaokusudiwa kuendelezwa kati ya Tanzania na Iran, utakuwa kwenye maendeleo ya kilimo na ufugaji ndani ya JKT.

Akifafanua taarifa zinazotoa picha kwamba Tanzania inaendeleza uhusiano wa kijeshi na Iran, Dk. Mwinyi alisema uhusiano uliozungumziwa wakati wa ziara yake Iran mwishoni mwa mwaka jana, ulikuwa wa kubadilishana ujuzi na teknolojia katika kilimo na ufugaji kwa JKT.

Hakuna kilichozungumzwa kuhusu uhusiano wa kijeshi, alisema. Waziri alisema Tanzania inaangalia uwezo ambao Iran inao katika teknolojia ya kilimo na ufugaji ili kujenga ushirikiano na nchi hiyo katika maeneo hayo.

Lakini vyombo vya Iran na vingine vya kimataifa viliripoti hivi:

ISNA - Tehran
Service: Foreign Policy


TEHRAN, Jan. 21 (ISNA)-Iran and Tanzania signed a Memorandum of Understanding (MoU) on Wednesday to boost defense cooperation.

The MoU was signed as Iran's Defense Minister Mostafa Mohammad Najjar and Tanzania's Minister for Defense and National Service Hussein Mwiny held their second round of talks in Tehran for expansion of defense cooperation.

The two sides also stressed strengthening international peace, security and stability and expansion of defense ties.

The Memorandum of Understanding involves sharing defense and military experiences and dispatching delegations on service, technical and training fields.


Mwiny heading a defense delegation stepped in Iran on Monday for talks with Iranian officials on defense section. He has been officially invited by Najjar.

Hussein Mwiny is the first Tanzanian Defense Minister who has tripped to Iran after Islamic revolution in 1979.

more News:
Iran-Tanzania defense ties to be expanded



TEHRAN (IRNA) – Iran's Defense Minister stressed the need to expand ties with Tanzania in all fields, given its strategic location in east Africa.


In a meeting with his Tanzanian counterpart, Hussein Ali Mwinyi, Major General Mostafa Mohammad Najjar expressed Iran's readiness to broaden its ties with the country in all fields.

Referring to his ministry's capabilities in defense industries, he further noted that it is ready to convey its experience to the country.


Pointing to Zionist regime's brutalities in Gaza, Najjar said Gazans' resistance once again defeated the forged regime as it was trounced by Hezbollah in 33-day war.

He called on the Muslim nations to help end Zionist regime's crimes and said that using forbidden bombs such as phosphorous bombs by Israelis to kill Palestinians is a war crime and they should be prosecuted in an international court.

Mwinyi, for his part, expressed pleasure over his visit to Iran and stressed the need to broaden defense ties between Iran and Tanzania.


He(Mwinyi) also announced his country's interest in developing relations with Iran in all fields and said that Iran has valuable experience and advanced equipment which can be useful for Tanzanian armed forces.

So:

Yawezekana:

a. Waziri wa Iran alikuwa anadanganya
b. Waziri wa Tanzania alikuwa anadanganya
c. Hawa wote hawajui walichokubaliana
d. Hawa hawakukutana kabisa na hawaakuzungumza lolote!

Vyovyote vile ilivyo; Kama Mwinyi kadanganya basi na yeye ajiandae kuomba msamaha tumsamehe.
 
God is faithful na amesema mwenye haki wake hataangamia wacha washirikiane wakitaka waanze ushirika na Lucifa mwenyewe tumechoka
 
wandugu,

..Irani ndiyo wakufunzi wa Hamas na Hezbollah.

..nina wasiwasi sana na hawa wa-Irani wasijelivuruga jeshi letu kwa kutumbukiza mambo yao ya ajabu-ajabu.
 
ISNA - Tehran
Service: Foreign Policy


TEHRAN, Jan. 21 (ISNA)-Iran and Tanzania signed a Memorandum of Understanding (MoU) on Wednesday to boost defense cooperation.

The MoU was signed as Iran's Defense Minister Mostafa Mohammad Najjar and Tanzania's Minister for Defense and National Service Hussein Mwiny held their second round of talks in Tehran for expansion of defense cooperation.

The two sides also stressed strengthening international peace, security and stability and expansion of defense ties.

The Memorandum of Understanding involves sharing defense and military experiences and dispatching delegations on service, technical and training fields.

Mwiny heading a defense delegation stepped in Iran on Monday for talks with Iranian officials on defense section. He has been officially invited by Najjar.

Hussein Mwiny is the first Tanzanian Defense Minister who has tripped to Iran after Islamic revolution in 1979.

more News:

Iran-Tanzania defense ties to be expanded



TEHRAN (IRNA) – Iran’s Defense Minister stressed the need to expand ties with Tanzania in all fields, given its strategic location in east Africa.


In a meeting with his Tanzanian counterpart, Hussein Ali Mwinyi, Major General Mostafa Mohammad Najjar expressed Iran’s readiness to broaden its ties with the country in all fields.

Referring to his ministry’s capabilities in defense industries, he further noted that it is ready to convey its experience to the country.

Pointing to Zionist regime’s brutalities in Gaza, Najjar said Gazans’ resistance once again defeated the forged regime as it was trounced by Hezbollah in 33-day war.

He called on the Muslim nations to help end Zionist regime’s crimes and said that using forbidden bombs such as phosphorous bombs by Israelis to kill Palestinians is a war crime and they should be prosecuted in an international court.

Mwinyi, for his part, expressed pleasure over his visit to Iran and stressed the need to broaden defense ties between Iran and Tanzania.

He also announced his country’s interest in developing relations with Iran in all fields and said that Iran has valuable experience and advanced equipment which can be useful for Tanzanian armed forces.

kwa vile mou ilikuwa inafanywa baina ya iran na nchi ambayo serikali yake haifungamani ni dini yoyote basi naamini ni vyema huyu waziri wa iran angehimiza nchi zote wapenda haki na amani kusaidia katika kusitisha unyama wa israeli kwa wapelestina huko gaza.
 
hawa jamaa si ndio alfitina wakubwa kwa sasa hapo mashariki ya kati?
 
As much as napenda urafiki na mataifa mbalimbali duniani nisingekimbilia kuunda uhusiano wa kijeshi na Iran.
 
ISNA - Tehran
Service: Foreign Policy

He called on the Muslim nations to help end Zionist regime’s crimes and said that using forbidden bombs such as phosphorous bombs by Israelis to kill Palestinians is a war crime and they should be prosecuted in an international court.....

Mwinyi, for his part, expressed pleasure over his visit to Iran and stressed the need to broaden defense ties between Iran and Tanzania.

.
...Lakini Tanzania kama Nchi haina Dini!!!!!!!.....hapa kuna mushkili kidogo ktk kutetea/kulinda 'mataifa ya kiisilamu'.
 
Inasemekena Tz kuna Uranium na Iran anahitaji sana hiyo resource

Inaoenkana kila anayetaka kuwa Rais Tz ni muhimu kuwa karibu na Iran

......of all the countries!!!.....Iran!!.......give me a break!!......damn
 
Hatua ya kuingia mkataba wa ushirikiano wa kijeshi na nchi nyingine inaamuliwa na CABINET au anajitokea waziri tu na anatuingiza?

Tunatakiwa kuingia ushirikiano na nchi ambazo zinajali haki za binadamu. Kwenye sheria zake, Iran ina adhabu ya kifo kwa raia wake yoyote anayebadilisha dini kutoka Uislamu kwenda Ukristo. Huu ni ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu.

Wakati wa kampeni za Urais, kuna gazeti la Uingereza lilidai JK alipewa US$20 million na Iran. JK aling'aka akatishia kulishtaki gazeti, lakini akaogopa. Labda ilikuwa kweli, na sasa anawalipa.
 
Hatua ya kuingia mkataba wa ushirikiano wa kijeshi na nchi nyingine inaamuliwa na CABINET au anajitokea waziri tu na anatuingiza?

Tunatakiwa kuingia ushirikiano na nchi ambazo zinajali haki za binadamu. Kwenye sheria zake, Iran ina adhabu ya kifo kwa raia wake yoyote anayebadilisha dini kutoka Uislamu kwenda Ukristo. Huu ni ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu.

Wakati wa kampeni za Urais, kuna gazeti la Uingereza lilidai JK alipewa US$20 million na Iran. JK aling'aka akatishia kulishtaki gazeti, lakini akaogopa. Labda ilikuwa kweli, na sasa anawalipa.

Hakuna nchi inayojali haki za binadamu duniani, mbona usemi kuhusu mauaji ya watu wa Iraq yaliyofanywa na Bush. Nyie mkiona nchi ya kiislamu inaingia mkataba na Tanzania mnapiga kelele, lakini Kikwete akienda Vatican mnasherehekea.
 
Haki,

Two wrongs don't make a right. Kutokujaliwa kwa haki za binadamu Iran hakukubaliki eti kwa vile ziko na nchi nyingine za aina hiyo.

Vatican haina tatizo la kukiuka haki za binadamau. Na hatuna ushirikiano wa kijeshi na Vatican. Haina jeshi wala. Nchi ya Vatican inajishughulisha kujenga mashule na mahospitali Tanzania. Iran inakaribishwa kufanya hayo.

Hatukatai kuwa na uhusiano wa karibu na nchi za Kiislamu kama Algeria na Misri ambazo si za hatari. Iran is a dangerous country that supports terrorist groups. How can we cooperate militarily with sponsors of terrorists?
 
Naona baada ya Bush mshkaji wake na Kikwete kuondoka jamaa ameamua kugeukia IRAN!
Haya we lets see ni ushirikiano gani wanataka kufanya..
 
Haki,

Two wrongs don't make a right. Kutokujaliwa kwa haki za binadamu Iran hakukubaliki eti kwa vile ziko na nchi nyingine za aina hiyo.

Vatican haina tatizo la kukiuka haki za binadamau. Na hatuna ushirikiano wa kijeshi na Vatican. Haina jeshi wala. Nchi ya Vatican inajishughulisha kujenga mashule na mahospitali Tanzania. Iran inakaribishwa kufanya hayo.

Hatukatai kuwa na uhusiano wa karibu na nchi za Kiislamu kama Algeria na Misri ambazo si za hatari. Iran is a dangerous country that supports terrorist groups. How can we cooperate militarily with sponsors of terrorists?

Mkuu Moshi,

In the first place Augustine Moshi ninayemjua mimi ana upeo mkubwa wa mambo na ANAPASWA kuweka uwiano katika katika maandiko yake. Unasema kuwa Iran ina sponsor terrorist groups,
Je, habari hizi wewe umezipata kutoka wapi (source)?
Je, ni kwanini Marekani kupitia Shirika la Ujasusi lina wa-sponsor wairan against nchi yao?
Je, unakubaliana na mimi kuwa wafuatao walikuwa ni vipenzi wa wamarekani na walikuwa wanapata sponsorship toka kwao?
Osama bin Laden,
Jonas Savimbi,
Renamo
Mobutu
Mimi siungi mkono namna yeyote ile ya ugaidi iwe ni kwa wanaodai haki hadi kwa wanaonesha ubabe.
Iko haja ya kukaa chini na kufikiri matatizo ya yanayowakuta wananchi wa paletine as well as Israel. Hakuna mwenye haki ya kukatisha uhai wa aidha mpalestina au muisraeli kwa namna yeyote ile.
Nikirudi kwenye uhusiano wetu na Iran, ninamkumbuka sana Mwalimu ambaye mara kwa mara alikuwa anasisitiza umuhimu wa kutofungamana na 'mkubwa yeyote kwa vile ni hatari kwa uhuru wa nchi. Alisistiza kuwa nchi yetu haiwezi kuchaguliwa rafiki, ni nchi huru ambayo inaweza kujiamulia mambo yake kwa vile inavyoona inafaa. Tumekuwa na uhusiano na Iran kwa kipindi kirefu sana, tumekuwa na Uhusiano na China kwa kipindi kirefu sanambona hatujahoji kuvunja uhusiano na China kama kigezo ni madai ya 'mkubwa' kwamba kuna uvunjaji mkubwa wa haki za binadamu? Tunadanganywa, na tunakubali. Lakini sijasikia tukitaka tuvunje uhusiano na Marekani kwa kuvunja haki za binadamu, ni leo hii serikali ya Marekani imetangaza kusitishwa kwa process za kuwashitaki wale waliowekwa kizuizini Guantenamo bila ya kufikishwa kwenye vyombo vya sheria.
Ninarudia kama tunataka kujadili masuala ya mahusiano kati ya Tanzania na nchi nyingine si vema tuaangalie matatizo kati ya 'mkubwa' na huyo tunayetaka kushirikiana nae kigezo kiwe ni mahusianao yao.
 
Pundamilia07,

Umeona nani kasema tuvunje uhusiano na Iran? Hatusemi hivyo. Tunachozungumzia hapa ni Waziri wa Ulinzi kwenda Iran na kutuingiza kweye ushirikiano wa Kijeshi na nchi hiyo.

Hizbulla (or Hezbullah, or whatever) ni kikundi cha kigaidi. Why? Hivyo ndivyo ulimwengu unavyotamka. Naamini ni kikundi ambacho kiko kwenye orodha ya UN ya magaidi. Sasa Hizbullah kinafadhiliwa na Iran. Hata mkuu wake anakaa Iran. Thus, Iran inasaidia ujangili duniani.

Sijasema Iran pekee ndio inasaidia ujangili duniani. Hata hivyo, niseme tena kwamba two wrongs do not make a right.

Sababu yangu ya msingi ya kusema hatupashwi kuwa na uhusiano wa kijeshi na Iran ni kwamba nchi hiyo ina sheria ambazo zina adhabu ya kifo kwa raia wake yoyote anayebadili dini toka Uislamu hadi Ukristu.
 
Pundamilia07,

Umeona nani kasema tuvunje uhusiano na Iran? Hatusemi hivyo. Tunachozungumzia hapa ni Waziri wa Ulinzi kwenda Iran na kutuingiza kweye ushirikiano wa Kijeshi na nchi hiyo.

Hizbulla (or Hezbullah, or whatever) ni kikundi cha kigaidi. Why? Hivyo ndivyo ulimwengu unavyotamka. Naamini ni kikundi ambacho kiko kwenye orodha ya UN ya magaidi. Sasa Hizbullah kinafadhiliwa na Iran. Hata mkuu wake anakaa Iran. Thus, Iran inasaidia ujangili duniani.

Sijasema Iran pekee ndio inasaidia ujangili duniani. Hata hivyo, niseme tena kwamba two wrongs do not make a right.

Sababu yangu ya msingi ya kusema hatupashwi kuwa na uhusiano wa kijeshi na Iran ni kwamba nchi hiyo ina sheria ambazo zina adhabu ya kifo kwa raia wake yoyote anayebadili dini toka Uislamu hadi Ukristu.

Mkuu Moshi,

Kwa hiyo unahoji uhusiano wetu na Iran kama nchi kwa sababu za kidini?
 

It is open and clear, the reason is Muhammadic to incentive Muhammadans beneficiaries fanatics.
 
Mkuu Moshi,

Kwa hiyo unahoji uhusiano wetu na Iran kama nchi kwa sababu za kidini?

Nahoji uhusiano wetu nao kwa sababu sheria za nchi yao zinasema auawe raia yoyote anayebadilisha dini toka Uislamu kwenda Ukristo. Inaelekea wametumia dini vibaya, na matokea yake wakapitisha sheria ambazo hatuwezi kukubalina nazo.

Kutaka uhusiano wa karibu na nchi ni kuunga mkono values zake. Hatuwezi tukakubaliana na ukandamizaji wa kidini wa Iran. Kama Waziri Mwinyi anakubaliana nao, asilazimishe taifa letu kufanya hivyo hivyo.
 
Back
Top Bottom