Tanzania kuongoza kikosi cha Jeshi la Kimataifa DRC

Mtaona kama bei ya mbao (TIMBER) nchini hapa haitapungua. Kuna biashara hii sana tu kule kwenye misitu ya Congo!
 
Hela za Meremeta na Budget za kununua silaha bora (trillion 3) zipo South Africa.

Hela tulizolipwa katika kutoka Comoro islands Zipo wapi???

Je hela za DRC........???

Tanzania tumezama katika tope.....
 
haya majukumu anatoa nani??????? kila siku sisi ni wakupeewa majukumu tuu.... agrhhghrh
Hilo ni suala muhimu kuzingatiwa.Nani anapanga Kenya iende kule na Uganda huku.Uhuru tuliopigania uko wapi.
Haya mavita yasiyokwisha anayefaidika ni nani na lengo lake la baadae ni lipi?.
 
Chezea Watutsi wewe wajanja sana acha sie tufikiri kuwa ni sifa kumbe wanatusoma then waje kutuchakaza.Nani asiejua kuwa Rwanda ndo inayoivuruga Congo? Kwa nini wasimkamate Kagame ili suala hili liishe tu.Rais wangu Kikwete juzi alienda Uganda eti kujadili suala la vita vya DRC yamkini atakua alienda na agenda mbali mbali.Kufika pale uwanja wa Entebe naona ziliyeyuka maana Mseveni na Kagame wanajua wanachokifanya kule DRC

Rwanda na Burundi they can never defeat us.nakuambia siku Tanzania inavamiwa na nchi yoyote jirani mimi nitajitolea kufa na sitakufa mwenye nitakufa with many lives in my hands. I love my country to death. Nyinyi mnaoponda ni wajinga wakubwa na kwasababu hujui lolote kuhusu Tanzania na harakati zake nje na ndani juu ya uhuru wa mtanznai. Leo hii inakaa kitako imejinenepea kupiga ulozi.
 
Rwanda na Burundi they can never defeat us.nakuambia siku Tanzania inavamiwa na nchi yoyote jirani mimi nitajitolea kufa na sitakufa mwenye nitakufa with many lives in my hands. I love my country to death. Nyinyi mnaoponda ni wajinga wakubwa na kwasababu hujui lolote kuhusu Tanzania na harakati zake nje na ndani juu ya uhuru wa mtanznai. Leo hii inakaa kitako imejinenepea kupiga ulozi.

Kwa nchi za jirani ni Kenya tu ndo inaweza kutubabaisha na hii ni kwasababu wana strong air force ukilinganisha na ya kwetu wana vifaa vingi vya kisasa na Military expenditure yao kwa kununua vifaa ni mara kumi ya kwetu ni last year tu ndo uganda ilizipita nchi zote za E.A kwenye millitary expenditure otherwise hatupaswi kuwa na wasiwasi juu ya uwezo wa nchi yetu kijeshi tumezungukwa na wanyonge wenzetu
 
gazeti la champion limeandika leo kwamba kuna nchi jirani mbili zinataka kuivamia bongo, na JK kashtuka.

Nchi gani hizo? Sababu za kutaka kutuvamia ni nini? Hivi Champion sio gazeti la udaku kweli?
 
Kuna ngoma mbichi inatusubiri hapo Lake Nyasa na nilazima tuicheze wenyewe against wamalawi na mabwana zao. Sijui strategists katika medani ya kiusalama na kimkakati wamezingatia hilo. Tuna vikosi Darfur na tutakuwa na vikosi DRC. Adui akiingilia kusini tumekwisha achilia mbali ukanda wa bahari - Al-Shabaab na vibaraka wao. Just for noting.

Hawakurupuki mzee wameshayaona yote hayo
 
Kwanini imeachiwa tanzania peke yake hili jukumu? hadi sasa hamna nchi iliyo tayari kutoa wanajeshi wake isipokua tanzania tu ambayo ndo inataka ktumwa peke yake. kuna nini hapa?. mia
 
Moshe Damian thanx kwa kuelezea ndugu zetu, kwa kuwa vifaa ukivipanga vyenyewe havipigani, tunahtaj pia experience, achen hao vijana waende kama recce party ambayo itatumika strategically na ma-inteligencia wetu kudetermine strength na zana walizonazo majirani zetu. Tujifunze uzalendo jaman. Hapa c usimba na uyanga.
 
Ni wapumbavu na wajinga wanaoponda JWTZ.mungu wabariki makamanda wetu.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Moshe Damian thanx kwa kuelezea ndugu zetu, kwa kuwa vifaa ukivipanga vyenyewe havipigani, tunahtaj pia experience, achen hao vijana waende kama recce party ambayo itatumika strategically na ma-inteligencia wetu kudetermine strength na zana walizonazo majirani zetu. Tujifunze uzalendo jaman. Hapa c usimba na uyanga.
 
Rwanda na Burundi they can never defeat us.nakuambia siku Tanzania inavamiwa na nchi yoyote jirani mimi nitajitolea kufa na sitakufa mwenye nitakufa with many lives in my hands. I love my country to death. Nyinyi mnaoponda ni wajinga wakubwa na kwasababu hujui lolote kuhusu Tanzania na harakati zake nje na ndani juu ya uhuru wa mtanznai. Leo hii inakaa kitako imejinenepea kupiga ulozi.

safi mkuu,mijitu mingine inayoponda cjui n mikimbizi?
na sijui ni watanzania wngapi tuliobaki na fikra kama hizi
 
Moshe Dayan,

..nadhani huu mgogoro wa DRC ni SADC ndiyo waliulea.

..nchi zote za SADC zingeunga mkono operation restore Congo sovereignty iliyokuwa inaongozwa na Zimbabwe tungeepusha matatizo tunayopambana nayo leo.

..tatizo kubwa lilikuwa ni baadhi ya wanachama wa SADC ku-legitimize vikundi vya waasi vilivyokuwa created na Rwanda na Uganda.
 
Last edited by a moderator:
Kwa nchi za jirani ni Kenya tu ndo inaweza kutubabaisha na hii ni kwasababu wana strong air force ukilinganisha na ya kwetu wana vifaa vingi vya kisasa na Military expenditure yao kwa kununua vifaa ni mara kumi ya kwetu ni last year tu ndo uganda ilizipita nchi zote za E.A kwenye millitary expenditure otherwise hatupaswi kuwa na wasiwasi juu ya uwezo wa nchi yetu kijeshi tumezungukwa na wanyonge wenzetu

Hivyo ni kudhania tu. Pia, kuwa na vyombo jikoni sio mapishi. Pia ujue adui usimdharau
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom