Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,796
- 12,239
Viongozi wetu:
Wananchi tunatakiwa kuyatambua haya ili tusiendelee kujiweka kitanzi kwa kuchagua viongozi wanafiki na wabovu!
- Ni wajivuni na kila mmoja anajali maslahi binafsi;
- Hawana upendo wala heshima kwa wananchi ambao ndiyo waliyowaweka madarakani;
- Wanapenda kuombwa na kuambudiwa badala ya kujituma kuwatumikia wananchi na kusikiliza kero zao;
- Wanaogopana na hivyo kushindwa kukaa pamoja na kushauriana namna bora ya kuwatumikia wananchi; na
- Wanalindana na hivyo kushindwa kukosoana ili kuficha madhambi yao.
Wananchi tunatakiwa kuyatambua haya ili tusiendelee kujiweka kitanzi kwa kuchagua viongozi wanafiki na wabovu!