Ni mimi niliyeandika hapa wiki tatu zilizopita kuwa Hosea wa Takukuru na Chenge wanatoka eneo moja huko usukumani. Mtu moja akanijibu kwa kejeli kuwa "hatutizami personalities tunatizama issues." Sasa kaongezeka Feleshi ni ndugu na msukumavilevile. Na tiyari hata kabla hajaliona faili kesha sema "Chenge ashitakiwe kwa kosa gani?" Unategemea lipi hapa?Watu mna kazi kweli.. hivi si imewahi kusemwa kuna undugu kati ya Feleshi na Chenge? which automatically should disqualify Feleshi kuona, na kufuatilia hili..