Eti kuna mikahawa na mahoteli jijini Dar amabayo hulipisha Dola Mia Saba kwa usiku mmoja......na lakunishangaza wanaostrahe pale na matajiri wetu hapa nchini..sio hata wazungu.Mie nawashuku hawa.....kama sio wezi wa mali ya umma basi kuna mambo ya kishetani ambayo wao hufanya.......ni aibu kwani watu wetu wanakufa kwa njaa na magonjwa...ili hali wenzetu wanaotunyonya wazialibu fedha zet......
Top Best Hotels in Dar-es-laam Tanzania
Top Best Hotels in Dar-es-laam Tanzania