Tanzania Kumbe kuna kupe

kayundi2

JF-Expert Member
Feb 2, 2009
210
21
Eti kuna mikahawa na mahoteli jijini Dar amabayo hulipisha Dola Mia Saba kwa usiku mmoja......na lakunishangaza wanaostrahe pale na matajiri wetu hapa nchini..sio hata wazungu.Mie nawashuku hawa.....kama sio wezi wa mali ya umma basi kuna mambo ya kishetani ambayo wao hufanya.......ni aibu kwani watu wetu wanakufa kwa njaa na magonjwa...ili hali wenzetu wanaotunyonya wazialibu fedha zet......
Top Best Hotels in Dar-es-laam Tanzania
 
what is your problem, ni kwasababu hauna hela ya kwenda kuspend au vipi, fanya kazi kwa bidii, tafuta hela na wewe ukaspend. karne zote duniani kuna wenye nacho na wasokuwa nacho, na haitakuja kubadilika. wewe unayeongea kwa hicho kidogo ulichonacho umefanya nini?

hotels, mikahawa etc ugarama wao unategemeana na huduma...mfano, kuna jamaa yangu diplomat alikuja kufanya kazi Dar, nyumba nzuri zilikuwa nyingi, lakini tulimchagulia moja tu iliyokuwa na facilities zote, including "24 hours security", hicho tu ndo kilifanya alipe dola 3500 kwa mwezi, kwasababu ya ulinzi masaa 24....nyumba zingine ni nzuri lakini hazina huduma hiyo, hivyo utalipa dola 1000 kwa mwezi etc...hivyohivyo na hotel au migahawa....however, sishabikii watu wasiowapa misaada watu maskini, kama mtu unacho unatakiwa kumsaidia asiyenacho kwa namna yoyote ile.
 
what is your problem, ni kwasababu hauna hela ya kwenda kuspend au vipi, fanya kazi kwa bidii, tafuta hela na wewe ukaspend. karne zote duniani kuna wenye nacho na wasokuwa nacho, na haitakuja kubadilika. wewe unayeongea kwa hicho kidogo ulichonacho umefanya nini?

hotels, mikahawa etc ugarama wao unategemeana na huduma...mfano, kuna jamaa yangu diplomat alikuja kufanya kazi Dar, nyumba nzuri zilikuwa nyingi, lakini tulimchagulia moja tu iliyokuwa na facilities zote, including "24 hours security", hicho tu ndo kilifanya alipe dola 3500 kwa mwezi, kwasababu ya ulinzi masaa 24....nyumba zingine ni nzuri lakini hazina huduma hiyo, hivyo utalipa dola 1000 kwa mwezi etc...hivyohivyo na hotel au migahawa....however, sishabikii watu wasiowapa misaada watu maskini, kama mtu unacho unatakiwa kumsaidia asiyenacho kwa namna yoyote ile.
mkuu hapa naona sredi hujaidaka kabisa. huyu bwana yeye anachosema ni kwamba kulinganisha na uchumi wa hii nchi ni vigumu sana kwa mtu mmoja kuwa na kipato cha kuspend 700 USD kwa siku katka hoteli hivyo ana wasiwasi hawa watu ni mafisadi wanaonyonya watu maskini, otherwise hakuna mtu mwenye tatizo na wewe kuspend fedha zako kama umezipata kwa uhalali kabisa.
 
Back
Top Bottom