Sijui ni mgao umeanza lakini umeanzia Kigamboni maana naona wanakata zaidi ya 12hrs na hakuna info yoyote..Tanesco wanazima simu au inatoa busy signal. Nilidhani Ngeleja alisema mwisho wa mgao Desemba 2011 maana wameingia mikataba kibao na megawatt za kutosha zitazalishwa?? Did I miss something?
since when did politicians start speaking the truth?
Mabwepande kuna maeneo ya kumwagaAngalieni Kigamboni, isije kuwa ndio wameamua kuwafukuza kijanja. Kwa kuwa mnapiga kelele sana kupinga Mradi wa mji mpya. Sasa wanaanza na Umeme kuwakatia, kisha Simu, Vivuko vinaondolewa mtaambiwa vyote viwili ni vibovu kwa wakati mmoja, barabara inayoingia kupitia Kibada itafungwa.
Sijui mtafikaje huko au kutoa vipi. Yaani kila nikiangalia sipati hoto:
Miaka 50 ya Uhuru Tanzania
MIZAMBWA
INANIUMA SANA.
Mabwepande kuna maeneo ya kumwaga
Lizemwalo lipo kama halipo laja, leo ni siku ya pili mji wa kigamboni upo gizani, maji yawashida, msemaji hamna, Tanzania tutafika?
On a serious note, nimeongea na officer mmoja wa Tanesco Kigamboni 0788499014-Emergency line amesema tatizo lipo kwenye nyaya zinazotoka Kurasini kuja Kigamboni ambazo amesema zimeungua ZOTE...hazifai tena..Kuhusiana na umeme kukatika-katika karibu kila siku anasema kwamba umeme ukiwa mdogo kwenye transformer Ilala basi inajizima yenyewe then baadaye inaboot...?????
Shukrani kwa ufuatiliaji na kutujuza.Mizambwa umenifurahisha kweli...Kama hizo ndizo hatua za kutuhamisha basi wamefaulu maana wakikata umeme, maji pia hatuna. Kule hatuna maji yenu yenye dawa, ni visima tu ambavyo vinatumia pampu kupandisha maji..so hatuna huduma zote muhimu..umeme na maji..patamu kweli. On a serious note, nimeongea na officer mmoja wa Tanesco Kigamboni 0788499014-Emergency line amesema tatizo lipo kwenye nyaya zinazotoka Kurasini kuja Kigamboni ambazo amesema zimeungua ZOTE...hazifai tena..thus wanatafuta another route ya kupeleka umeme K'mboni wakati wanashughulikia swala la nyaya. Kuhusiana na umeme kukatika-katika karibu kila siku anasema kwamba umeme ukiwa mdogo kwenye transformer Ilala basi inajizima yenyewe then baadaye inaboot...????? Well, mlioko huku ng'ambo mvuke na madumu ya maji otherwise...hakuna matumaini. Mercy!
Kuhusu kuungua kwa nyaya - Ina maana walikueleza kuwa itachukua siku ngapi kurekebisha, kwani wananchi wapo gizani siku mbili ni hatari. na je, ingekuwa ni LINE inayoenda IKULU wangekaa kimya siku mbili bila matengenezo wanatafuta njia nyingine kama wanavyofanya kwa Kigamboni. ISIWE NDIZO AHADI ZA kISIASA ZIMEINGIA HADI TANESCO.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
Na sio siku mbili tu bali ni zaidi na pia si Kigamboni tu bali kuna baadhi ya maeneo mengi hapa Dar ambayo pia yameathirika na hakuna msemaji sijui tuwaeleje na isitoshe wamebebwa sana hawa na serikali kwani bajeti yao iko juu huduma ziro