mchakachuaji
Member
- Aug 12, 2010
- 58
- 7
hali ya kiuchumi ya Nchi yetu ya tanzania baada ya uchaguzi wa Ubunge wa jimbo la Igunga ipo taabani na sababu kubwa ikiwa matumizi makubwa ya fedha katika uchaguzi huo; licha ya bajeti kupita hakuna ajira, gharama za maisha zimekuwa kubwa, wafanyakazi hawalipwi kwa wakati, hospitali hazina madawa, n.k. Hali hii inanifanya niamini kuwa kama kutakuwa na matumizi makubwa ya fedha katika uchaguzi mkuu wa October 2015 basi Novemba 2015 nchi itafilisika rasmi, sio mbali sana! naomba kuwasilisha