Kiukweli binafsi sioni cha maana alichofanya muongoza nchi wetu(rais) tangu atinge ikulu zaidi ya kuonesha udhaifu katika utendaji wake.
Nnavyojua mimi ni kwamba kiongozi lazima awe na vifu fulani adimu ambavyo hata wanaoongozwa wanaona kabisa bila huyu kiongozi jambo fulani haliwezi kwenda vizuri.
Lakini kwa Tanzania sasa hivi kila mtu anaendesha maisha yake binafsi kuanzia ngazi ya familia hadi taifa bila kumtegemea rais wetu wa nchi, hii inaonesha wazi kwamba hivi sasa kila Mtanzania ni RAIS binafsi anayejiongoza katika kuendesha maisha yake ya kila siku.
Nnavyojua mimi ni kwamba kiongozi lazima awe na vifu fulani adimu ambavyo hata wanaoongozwa wanaona kabisa bila huyu kiongozi jambo fulani haliwezi kwenda vizuri.
Lakini kwa Tanzania sasa hivi kila mtu anaendesha maisha yake binafsi kuanzia ngazi ya familia hadi taifa bila kumtegemea rais wetu wa nchi, hii inaonesha wazi kwamba hivi sasa kila Mtanzania ni RAIS binafsi anayejiongoza katika kuendesha maisha yake ya kila siku.