CCM haifai kuongoza nchi. Wanatakiwa watolewe madarakani na Wananchi kwa Maandamano ya Amani. Aljazeera inakuja-itasaidia ktk kutangaza habari za Maandamano Duniani. Miaka 50 ni mingi sana. Nataka kuona, kushuhudia CCM inaondoka Madarakani.
Maandamano ya Amani yanatakiwa. Tunisia wameweza, Egypt wameweza. Na sisi Tunaweza. Time is UP. CCM itoke Madarakani.
Power to The People.
Maandamano ya Amani yanatakiwa. Tunisia wameweza, Egypt wameweza. Na sisi Tunaweza. Time is UP. CCM itoke Madarakani.
Power to The People.