Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Hali halisi North Mara, yaani uchafu unaofanywa na barrick ni Sababu tosha serikali dhalimu ya CCM na mafisadi wake kung'olewa madarakani. Nguvu ya umma ndio dawa pekee ya kulikomboa taifa letu. Watoto wa mafisadi kama January wanaliona Tanzania kama shamba la baba yao. Uvumilivu wetu unafika ukingoni, CCM lazima iondoke pamoja na Rarrick