KAKA A TAIFA
JF-Expert Member
- Apr 27, 2011
- 566
- 80
Watoto wa shule hawana viatu,madawati,huku mtoto mwingine anauza mahindi shule m-huuuuu.tutakuwa na kizazi gani hapo baadaye kama elimu itakuwa ya kubahatisha hivi?mwakilishi yeye anauchapa usingizi jimboni wanatarajia nini?wananchi waweza kuchangia madawati kama kutakuwa na uongozi bora unahamasisha maendeleo ya wananchi.rasilimali zitumike vizuri pia inatoa hamasa na kuamini viongozi wao