Tanzania itajengwa na wenye moyo

KAKA A TAIFA

JF-Expert Member
Apr 27, 2011
566
80
Watoto wa shule hawana viatu,madawati,huku mtoto mwingine anauza mahindi shule m-huuuuu.tutakuwa na kizazi gani hapo baadaye kama elimu itakuwa ya kubahatisha hivi?mwakilishi yeye anauchapa usingizi jimboni wanatarajia nini?wananchi waweza kuchangia madawati kama kutakuwa na uongozi bora unahamasisha maendeleo ya wananchi.rasilimali zitumike vizuri pia inatoa hamasa na kuamini viongozi wao
 

Attachments

  • ANAWAKILISHA WANANCHI.jpg
    ANAWAKILISHA WANANCHI.jpg
    36.9 KB · Views: 179
  • HAWANA VIATU.jpg
    HAWANA VIATU.jpg
    68 KB · Views: 42
  • HAWANA MADAWATI.jpg
    HAWANA MADAWATI.jpg
    85.8 KB · Views: 38
  • scan0001.jpg
    scan0001.jpg
    119 KB · Views: 45
  • MLALAHOI.jpg
    MLALAHOI.jpg
    57.1 KB · Views: 40
attachment.php


nilikuwa nakula hii picha imenipa kichefuchefu na hasira.. hapo mtu mzima amekwisha dondoka signature achukuwe posho.. akitoka hapo ndani ya VX full kiyoyozi hadi hotelini napoishi na family yake.. #^%*&^(*^(^%(*( ake
 
Back
Top Bottom