Tanzania itageuka kuwa Nigeria muda si mrefu

Kakende

JF-Expert Member
Aug 18, 2012
2,741
1,231
Kwa hali tuliyonayo sasa hivi ya udini Tanzania itageuka kuwa Nigeria muda si mrefu. Radio imani na CD za chuki zinazosambazwa kwa ajili ya chuki dhidi ya dini zingine hasa wakristu ni dalili tosha kwamba sasa inabidi tukae mkao wa vita.

Kwa hii kasi ya Radio imani na shehe Ponda tuome mungu serikali ijayo mwaka 2015 iwe imara katika kutafuta suluhisho za hali ilivyo sasa

Ni jambo la hatari kuona serikali imekaa kimya huku wakija hali inakuwa mbaya siku hadi siku, serikali imeshindwa kukaa na akina Ponda na Radio imani na kuwahoji shida yao ni nini? hivyo kuweza kuchukua hatua stahiki.

Ni jambo la ajabu kuona udini na chuki vinachochewa adharani: Mfano ukienda kwenye mihadhara ya waislam, asilimia 90 inatumika kutukana dini ya Kikristo lakini hakuna hatua inachukuliwa.

Waislam wamejifunza sasa kuwa wakristu ni wapole, serikali ni pole kwa hiyo wanaweza kufanya jambo lolote

Waislam wanadai kuonewa kila kona ya dunia mfano: Mombasa Kenya, Mali, Nigeria na maeneo mengine duniani ndo maana makundi ya kigaidi yamekuja kasi.

Waislam wa Tanzania bado kidogo wanatafuta confidence ya kuunda kikundi maalum cha kivita, kama hakuna hatua inachukuliwa Tanzania itakuwa sehemu hatari kuishi, tegemea mtu kulipuka muda wowote kwenye daladala
 
Mwandishi Mmoja akiitwa Antony Ngaiza aliandika Makala 1992 kwamba Tanzania itaingia katika Machafuko ya Kidini.
Mwandishi alinukuu uchambuzi wa kijasusi wa shirika la kipelelezi la Marekani CIA wakati huo, ambapo Tanzania iliwekwa pamoja na Nigeria.

Ni Miaka karibu ishirini imepita tangu utabiri huo, lakini naona majasusi hao waliona mbali. Tayari Tanzania imeingia katika machafuko ya kidini. Si future tense tena.

Na mimi ninavyoona njia sahihi siyo kuwa passive kwa hali iliyopo. Zamani niliwahi kusikia neno moja maarufu wakati wa Vita baridi kati ya mataifa ya magharibi na Mashariki; neno lenyewe ni Deterrence. Unasoma adui ana nguvu ipi, unaandaa mazingira ya kumchapa. Fullstop!

Hawa watu wakiachiwa wataleta shida sana...






Kwa hali tuliyonayo sasa hivi ya udini Tanzania itageuka kuwa Nigeria muda si mrefu. Radio imani na CD za chuki zinazosambazwa kwa ajili ya chuki dhidi ya dini zingine hasa wakristu ni dalili tosha kwamba sasa inabidi tukae mkao wa vita.

Kwa hii kasi ya Radio imani na shehe Ponda tuome mungu serikali ijayo mwaka 2015 iwe imara katika kutafuta suluhisho za hali ilivyo sasa

Ni jambo la hatari kuona serikali imekaa kimya huku wakija hali inakuwa mbaya siku hadi siku, serikali imeshindwa kukaa na akina Ponda na Radio imani na kuwahoji shida yao ni nini? hivyo kuweza kuchukua hatua stahiki.

Ni jambo la ajabu kuona udini na chuki vinachochewa adharani: Mfano ukienda kwenye mihadhara ya waislam, asilimia 90 inatumika kutukana dini ya Kikristo lakini hakuna hatua inachukuliwa.

Waislam wamejifunza sasa kuwa wakristu ni wapole, serikali ni pole kwa hiyo wanaweza kufanya jambo lolote

Waislam wanadai kuonewa kila kona ya dunia mfano: Mombasa Kenya, Mali, Nigeria na maeneo mengine duniani ndo maana makundi ya kigaidi yamekuja kasi.

Waislam wa Tanzania bado kidogo wanatafuta confidence ya kuunda kikundi maalum cha kivita, kama hakuna hatua inachukuliwa Tanzania itakuwa sehemu hatari kuishi, tegemea mtu kulipuka muda wowote kwenye daladala
 
Redio Imaan inakingiwa kifua na nani?
Usalama wa Taifa wanafanya kazi gani?
TCRA wanafanya kazi gani?
 
Be strong and of a good courage, fear not, nor be afraid of them: for the Lord thy God, he it is that doth go with thee; he will not fail thee, nor forsake thee.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom