Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,284
mtafute Faziafoxy yeye ana knowlegde ya both
arabic language na islamic knowledge aje athibitishe hapa
kwa kuwasaidia tu hata Daresalaam yenyewe sio Daresalaam
usahihi ni DAR AS SALAAM..na sio DAR ES SALAAM....
kwa hiyo kama Brunei wanaiita DAR US SALAAM.....jiulize hapo
vipi wao iwe pepo sisi iwe bandari.....
haya majina ukifuatiulia utashangaaa mfano jerusalem ni jerusalem au ni JER US SALAAM?????
Which is which?
Kwa kukusaidia kwenye imani yako, kati ya pepo hizo saba, moja tu ya daraja la juu-Firdaws, ndio pekee iliyoanishwa kwa jina lake. Hayo majina mengine yanamaanisha pepo, hayamaanishi a pertciular pepo.
Tanabahi:
1. Pepo imetajwa kwa zaidi ya majina 9 kwenye Quran
2. Dar (Dur) kwa Kiarabu ina maana ya eneo/ nyumba/ .....