Kumekuwa na hali ya kuvamiwa kwa biashara tofauti na haijulikani hivi vurugu zitaenda mpaka lini. Serikali imeshidwa kulinda watu na familia zao na tunaona kila siku watu wanaweza kwenda na kutekeleza sehemu binafsi bila mashaka.
Hapa Texas ninapoishi huwezi kufanya hivyo maana watu wanaruhusiwa kuwa na silaha na kama mtu amekuvamia na wewe uka shoot kwa kuangalia familia yako hakuna kesi.
Imefikia wakati wa Tanzania kurahisisha umiliki wa silaha kwani watu wakijua una silaha inabidi wajiulize mara mbili kabla hawajaja. Demokrasia sio free
Hapa Texas ninapoishi huwezi kufanya hivyo maana watu wanaruhusiwa kuwa na silaha na kama mtu amekuvamia na wewe uka shoot kwa kuangalia familia yako hakuna kesi.
Imefikia wakati wa Tanzania kurahisisha umiliki wa silaha kwani watu wakijua una silaha inabidi wajiulize mara mbili kabla hawajaja. Demokrasia sio free