Tanzania Internet Service Providers: Packages

Status
Not open for further replies.
Need one of these, broadband ya Zantel modem yao wanauza shiling ngapi?!
TTCL wanatumia ADSL ya kampuni gani?yenye specs gani?i can buy ADSL modem abroad,for that 450,000 package what is the uplink speed?!
 
Need one of these, broadband ya Zantel modem yao wanauza shiling ngapi?!
TTCL wanatumia ADSL ya kampuni gani?yenye specs gani?i can buy ADSL modem abroad,for that 450,000 package what is the uplink speed?!

Umeuliza maswali muhimu sana; nami ningependa kufahamu majibu yake.

Kuhusu swali lako la mwisho ningekushauri uwasiliane na TTCL. Kabla hawajabadilisha bei zao, speed ilikuwa 2Mbps/1Mbps (Download/Upload)

Wana packages kadhaa, kwa hiyo speed inaweza isifanane kwenye package moja na nyingine.

For large business, ISPs, public and private organizations;
For small and medium enterprises;
For residential and very small offices

Email waliyoweka kwenye website yao:
sales@ttcl.co.tz
 
Maxence Melo,

Kwa sisi ambao hatuko kwenye field ya IT maelezo yako yametutoa tongotongo. Nisaidie moja tu. Nina pc nataka kuweka internet kwa matumizi yangu nyumbani, kwa maoni yako niende kwa Provider yupi?? (Bei, speed, service). Tafadhali saidi hilo.
 
Maxence Melo,

Kwa sisi ambao hatuko kwenye field ya IT maelezo yako yametutoa tongotongo. Nisaidie moja tu. Nina pc nataka kuweka internet kwa matumizi yangu nyumbani, kwa maoni yako niende kwa Provider yupi?? (Bei, speed, service). Tafadhali saidi hilo.
Ili Max aweze kukusaida, nadhani inabidi umfahamishe yafuatayo:
- Matumizi yako yakoje (Volume).
- Bajeti yako ikoje
- Eneo au mkoa unaoishi
- Je, unayo line ya TTCL nyumbani?

Mwingine ana malengo ya kufanya biashara na anahitaji Internet muda wote. Utaona kwamba inategemea mazingira yako yakoje.

Halafu, baada ya kujisomea ambacho Max ameweka humu tayari, uliza maswali kwenye maeneo ambayo hujaelewa. Jisaidie usaidiwe!
 
nimejaribu hiyo Zantel broadband,sijui nimepewa modem mbaya or what but the thing is crappy at best!it can render normal pages well,but skype,and other intensive pages is still a big headache.

nadhani TZ ISP's do not know what QOS is,the QOS is totally unacceptable.use it to surf webpages but not to do video conferencing(skype) or any of such.
 
Baada ya kumsoma Kimori nimefikiria ni vema nikatoa mawazo yangu katika mada mpya ambapo sintovuruga mjadala aliouanzisha. Naamini wengine watakuja na mawazo yao tofauti ama yanayoshabihiana na yangu hivyo kutoa mwanga kwa watumiaji wa Internet Tanzania.

Ninapoongelea speed ya download (uploads wanaohitaji ni wachache sana) namaanisha bila kutumia Download Accelerators.

VodaComa as an ISP:
VodaCom kama hauna package maalum basi gharama yake ni kubwa sana, ni zaidi ya Tshs 300/= per MB. Ni vema kama umedhamiria kutumia VodaCom internet (speed yao sijaridhika nayo ingawa nilinunua bundle ya 5GB toka kwao kwa majaribio) basi jaribu kununua bundle ili kupunguza gharama. Devices (modem) za connection kwa VodaCom ni bei nafuu (170,000/=) hivyo unaweza kununua na kutumia kirahisi. Ukiweka bundle ya walau laki 2 unaweza kuitumia mpaka itakapoisha ndani ya kipindi cha miezi mitatu, uzuri wake ni kuwa una-recharge kwa vouchers za kawaida kabisa. Inafaa kwa normal users wasio na downloads wala uploads kubwa. Statistics za downloads na uploads utaziona kwenye software ya modem yako. Download speed yao haizidi 100kb/s pamoja na kuwa unaweza kuwa na modem yenye uwezo wa 7.2MB/s

Kuna Zantel:
Hawa nimekuwa nao kwa muda sasa na mimi ni Postpaid Customer wao, hawa nao nalipia bundle ya 10GB kwa mwezi. Nimekuwa nikitumia service yao kwa zaidi ya miezi 6 sasa na naweza kusema pamoja na kuwa nilishakumbana na matatizo nao lakini mara zote wametoa ushirikiano wa karibu. Hawa download speed yao ni nzuri na kuna wakati inafikia 250kb/s. Kwa bundle hii ya 10GB, nanunua 1MB kwa Tshs 26/= na inakuwa ina VAT ndani yake. Haya matangazo wanayoweka barabarani na kudai wana UNLIMITED Internet service ni lugha ya kibiashara ambayo inamaanisha 3GB kwa 90,000/= wakiwa wamewa-target normal users. Kwa mtu kama mimi ambaye per month najikuta nina zaidi ya 20GB siwezi kukubaliwa kuwa na hiyo ya Tshs 90,000/= per month. Hawa ukikumbana na tatizo na service zao naweza hata kukusaidia endapo utakosa msaada wa haraka kwani modem zao nimezitumia karibia zote na kuna device ambayo ukiichukua kwao hata kama una PC 20 ofisini kwako bado unaweza kutumia modem moja kwa PC zote.

Kuna Benson Online (BoL):
Hawa achana nao kabisa, nimetumia service yao kwa miezi 6 hivi, kwa mobile zao ambazo walizitangaza kuwa unalipia 180,000/= kwa miezi 3 na unapewa UNLIMITED (uwongo tu kwani wanakubana kwa speed), lakini mobiles zile zikipata joto tu kwishnei! Aidha, connection ya nyumbani kabisa niliyokuwa nayo speed yake ilikuwa inabidi niache nimefungua page nikazunguke wee ili kukuta page imemaliza ku-load. Internet speed yao haizidi 60kb/s (download speed). Hawafai kwa mtu mwenye kuzoea internet ya kasi. Labda wabadilike!

Kuna hawa Raha.com:
Nimekuwa mteja wao zaidi ya miaka 2 sasa, kuna kipindi internet yao ilikuwa speed kubwa sana (3months ago) lakini sasa sijui wameelemewa au ni vipi, imekuwa slow SANA kiasi inakatisha tamaa hata kutumia. I do not recommend them to any of my friends. Bahati mbaya zaidi hawana internet ambayo itakuwezesha mtu kuwa mobile. Labda wabadilike!

Kuna hawa wageni SasaTel:
Hata kabla ya kutumia service yao niligundua matangazo yao ni tofauti na walicho nacho, bei zao ziko juu ingawa nilitarajia walivyo wageni wameisoma market ya Tanzania hivyo ni rahisi kwao kuja na package za kueleweka. Hawakujipanga vema, lazima ununue devices za kwao kupata services zao, wamekosea labda warekebishe mapema kabisa.

Kuna SimbaNet:
Hawa connection yao ya nyumbani (isiyo mobile) ni nzuri, bado niko kwenye majaribio yake. Pia SimbaNet wapo njiani kuja na modem ambazo ni sawa na za Zantel/VodaCom, nina bahati kuwa nimeichukua moja naifanyia majaribio ili baadae niweze kujua kama watafaa kwenye market yetu. Mpaka sasa speed yao ni nzuri, atleast 120kb/s kwa downloads inaweza kufikiwa. Nina wiki 3 tangu niichukue hii connection yao na bado sijaona tatizo kubwa katika kuunganisha, matatizo mawili ambayo nadhani kwa customers wa Tanzania wanaweza kuyaita matatizo ni kulazimika kutumia password, na kutumia username iliyo complicated kitu ambacho ni rahisi kurekebishwa ndani ya dakika chache (labda walifanya makusudi kwa wateja wa kwanza).

TTCL Broadband:
Hawa TTCL ni mwisho wa matatizo! Nina wateja karibia 6 hivi (makampuni) ambapo mimi ndiye naangalia internet services za makampuni haya, wengi nilikuta walishakata tamaa tokana na huduma mbovu za ISP wengine na kuwa na suppliers wasiotoa ufumbuzi wa matatizo yao. Tangu nimeingia makubaliano nao niliamua kutumia TTCL na Zantel kama ISP kwa wateja wangu na wote wawili hawa wameonekana kutatua matatizo ya wateja hawa. TTCL Broadband ina packages mbalimbali lakini ukichukua kama 10GB unalipia Tshs 360,000/=. Hii kwa kampuni ya kawaida inatosha kabisa lakini unahitaji kuwa na mtu au kampuni maalum ya kukufanyia hivyo, ukiwaacha TTCL wenyewe wakufanyie kazi basi ukiritimba wake unaweza kuuchukia kabisa kwani service itakuwa haifurahishi na unaweza kujuta hata kuwa nao. Kinachosaidia kwa wateja wangu ni kuwa nimechukua liabilities zote na kuwa na-deal moja kwa moja na TTCL.

TTCL wana bundles za aina nyingi, 500MB - 50GB per month. Download speed ni kubwa na inafikia hata 256kp/s bila kutumia download accelerators, ukitumia accelerators inakwenda mpaka 2MB/sec. Kinachofurahisha zaidi TTCL wana Upload speed kubwa tu, inafikia hata 516kp/sec.

Matatizo ya TTCL Broadband ni mengi kidogo:

  1. Hakuna Post Paid service, ikifika mwisho wa mwezi wanakukatia tu! Yani hawakupi hata dakika ili uka-recharge. Kama una mteja ambaye ana service muhimu unaweza kubeba lawama zisizo zako.
  2. Huduma kwa wateja ni very poor, unaweza kupoteza siku nzima na hela yako mkononi bila kupata service ya kueleweka
  3. Baadhi ya maeneo haifanyi kazi (ndani ya Dar) hivyo unaambiwa subiri walau miezi miwili lakini ukweli ni kuwa hata ikiisha hiyo miezi miwili ukirudi unaambiwa miwili tena!
  4. Wakati mwingine unalipia gharama zaidi ya ulivyotumia, statistics zote unaziangalia online hivyo ukishakatikiwa service huwezi kujua mpaka uende kwenye kituo cha TTCL kujua nini kilitokea na kivipi... Wanakatisha tamaa sana!
TTCL Mobile:
Nilikuwa natumia service hii lakini niliiweka chini na modem yake kuigawa BURE kwa mtu aliyeonekana kuipenda. Iko slow na haiwezi kuhimili mikikimikiki.

Zain as an ISP:
Zain inafaa katika Blackberry (Tshs 35,000/=) tu. Ninayo Blackberry 9000 Bold na service ni nzuri kwa kiasi chake! Lakini, services nyingine hawana tofauti na VodaCom. Ukitumia Blackberry kwa VodaCom hutotamani kurudia isipokuwa Zain. Kwa Blackberry hapo Zain wamefanikisha!

ISP wengine kama CATS-Net, iWay Africa n.k nitatoa feedback baadae kwani ndio bado natafuta connections zao ili niweze kutoa comment.

NB: Haya ni mawazo yangu kwani wengine yawezekana wanapata service tofauti na ninavyoipata. Nimekwishajaribu ISP hao juu na naweza kuwa na mawazo tofauti nikiwarudia mmoja baada ya mwingine kuangalia kama kuna mabadiliko yoyote.

Unlimited wireless would have been a great deal and many people would have opted for such services even students as well. Na ile ndoto yetu ya kupeleka ICT hadi vijijini ingekamilika na wadau wangepata elimu tosha kwa maisha yao.
 
Baada ya kumsoma Kimori nimefikiria ni vema nikatoa mawazo yangu katika mada mpya ambapo sintovuruga mjadala aliouanzisha. Naamini wengine watakuja na mawazo yao tofauti ama yanayoshabihiana na yangu hivyo kutoa mwanga kwa watumiaji wa Internet Tanzania.

Ninapoongelea speed ya download (uploads wanaohitaji ni wachache sana) namaanisha bila kutumia Download Accelerators.

VodaComa as an ISP:
VodaCom kama hauna package maalum basi gharama yake ni kubwa sana, ni zaidi ya Tshs 300/= per MB. Ni vema kama umedhamiria kutumia VodaCom internet (speed yao sijaridhika nayo ingawa nilinunua bundle ya 5GB toka kwao kwa majaribio) basi jaribu kununua bundle ili kupunguza gharama. Devices (modem) za connection kwa VodaCom ni bei nafuu (170,000/=) hivyo unaweza kununua na kutumia kirahisi. Ukiweka bundle ya walau laki 2 unaweza kuitumia mpaka itakapoisha ndani ya kipindi cha miezi mitatu, uzuri wake ni kuwa una-recharge kwa vouchers za kawaida kabisa. Inafaa kwa normal users wasio na downloads wala uploads kubwa. Statistics za downloads na uploads utaziona kwenye software ya modem yako. Download speed yao haizidi 100kb/s pamoja na kuwa unaweza kuwa na modem yenye uwezo wa 7.2MB/s

Kuna Zantel:
Hawa nimekuwa nao kwa muda sasa na mimi ni Postpaid Customer wao, hawa nao nalipia bundle ya 10GB kwa mwezi. Nimekuwa nikitumia service yao kwa zaidi ya miezi 6 sasa na naweza kusema pamoja na kuwa nilishakumbana na matatizo nao lakini mara zote wametoa ushirikiano wa karibu. Hawa download speed yao ni nzuri na kuna wakati inafikia 250kb/s. Kwa bundle hii ya 10GB, nanunua 1MB kwa Tshs 26/= na inakuwa ina VAT ndani yake. Haya matangazo wanayoweka barabarani na kudai wana UNLIMITED Internet service ni lugha ya kibiashara ambayo inamaanisha 3GB kwa 90,000/= wakiwa wamewa-target normal users. Kwa mtu kama mimi ambaye per month najikuta nina zaidi ya 20GB siwezi kukubaliwa kuwa na hiyo ya Tshs 90,000/= per month. Hawa ukikumbana na tatizo na service zao naweza hata kukusaidia endapo utakosa msaada wa haraka kwani modem zao nimezitumia karibia zote na kuna device ambayo ukiichukua kwao hata kama una PC 20 ofisini kwako bado unaweza kutumia modem moja kwa PC zote.

Kuna Benson Online (BoL):
Hawa achana nao kabisa, nimetumia service yao kwa miezi 6 hivi, kwa mobile zao ambazo walizitangaza kuwa unalipia 180,000/= kwa miezi 3 na unapewa UNLIMITED (uwongo tu kwani wanakubana kwa speed), lakini mobiles zile zikipata joto tu kwishnei! Aidha, connection ya nyumbani kabisa niliyokuwa nayo speed yake ilikuwa inabidi niache nimefungua page nikazunguke wee ili kukuta page imemaliza ku-load. Internet speed yao haizidi 60kb/s (download speed). Hawafai kwa mtu mwenye kuzoea internet ya kasi. Labda wabadilike!

Kuna hawa Raha.com:
Nimekuwa mteja wao zaidi ya miaka 2 sasa, kuna kipindi internet yao ilikuwa speed kubwa sana (3months ago) lakini sasa sijui wameelemewa au ni vipi, imekuwa slow SANA kiasi inakatisha tamaa hata kutumia. I do not recommend them to any of my friends. Bahati mbaya zaidi hawana internet ambayo itakuwezesha mtu kuwa mobile. Labda wabadilike!

Kuna hawa wageni SasaTel:
Hata kabla ya kutumia service yao niligundua matangazo yao ni tofauti na walicho nacho, bei zao ziko juu ingawa nilitarajia walivyo wageni wameisoma market ya Tanzania hivyo ni rahisi kwao kuja na package za kueleweka. Hawakujipanga vema, lazima ununue devices za kwao kupata services zao, wamekosea labda warekebishe mapema kabisa.

Kuna SimbaNet:
Hawa connection yao ya nyumbani (isiyo mobile) ni nzuri, bado niko kwenye majaribio yake. Pia SimbaNet wapo njiani kuja na modem ambazo ni sawa na za Zantel/VodaCom, nina bahati kuwa nimeichukua moja naifanyia majaribio ili baadae niweze kujua kama watafaa kwenye market yetu. Mpaka sasa speed yao ni nzuri, atleast 120kb/s kwa downloads inaweza kufikiwa. Nina wiki 3 tangu niichukue hii connection yao na bado sijaona tatizo kubwa katika kuunganisha, matatizo mawili ambayo nadhani kwa customers wa Tanzania wanaweza kuyaita matatizo ni kulazimika kutumia password, na kutumia username iliyo complicated kitu ambacho ni rahisi kurekebishwa ndani ya dakika chache (labda walifanya makusudi kwa wateja wa kwanza).

TTCL Broadband:
Hawa TTCL ni mwisho wa matatizo! Nina wateja karibia 6 hivi (makampuni) ambapo mimi ndiye naangalia internet services za makampuni haya, wengi nilikuta walishakata tamaa tokana na huduma mbovu za ISP wengine na kuwa na suppliers wasiotoa ufumbuzi wa matatizo yao. Tangu nimeingia makubaliano nao niliamua kutumia TTCL na Zantel kama ISP kwa wateja wangu na wote wawili hawa wameonekana kutatua matatizo ya wateja hawa. TTCL Broadband ina packages mbalimbali lakini ukichukua kama 10GB unalipia Tshs 360,000/=. Hii kwa kampuni ya kawaida inatosha kabisa lakini unahitaji kuwa na mtu au kampuni maalum ya kukufanyia hivyo, ukiwaacha TTCL wenyewe wakufanyie kazi basi ukiritimba wake unaweza kuuchukia kabisa kwani service itakuwa haifurahishi na unaweza kujuta hata kuwa nao. Kinachosaidia kwa wateja wangu ni kuwa nimechukua liabilities zote na kuwa na-deal moja kwa moja na TTCL.

TTCL wana bundles za aina nyingi, 500MB - 50GB per month. Download speed ni kubwa na inafikia hata 256kp/s bila kutumia download accelerators, ukitumia accelerators inakwenda mpaka 2MB/sec. Kinachofurahisha zaidi TTCL wana Upload speed kubwa tu, inafikia hata 516kp/sec.

Matatizo ya TTCL Broadband ni mengi kidogo:

  1. Hakuna Post Paid service, ikifika mwisho wa mwezi wanakukatia tu! Yani hawakupi hata dakika ili uka-recharge. Kama una mteja ambaye ana service muhimu unaweza kubeba lawama zisizo zako.
  2. Huduma kwa wateja ni very poor, unaweza kupoteza siku nzima na hela yako mkononi bila kupata service ya kueleweka
  3. Baadhi ya maeneo haifanyi kazi (ndani ya Dar) hivyo unaambiwa subiri walau miezi miwili lakini ukweli ni kuwa hata ikiisha hiyo miezi miwili ukirudi unaambiwa miwili tena!
  4. Wakati mwingine unalipia gharama zaidi ya ulivyotumia, statistics zote unaziangalia online hivyo ukishakatikiwa service huwezi kujua mpaka uende kwenye kituo cha TTCL kujua nini kilitokea na kivipi... Wanakatisha tamaa sana!
TTCL Mobile:
Nilikuwa natumia service hii lakini niliiweka chini na modem yake kuigawa BURE kwa mtu aliyeonekana kuipenda. Iko slow na haiwezi kuhimili mikikimikiki.

Zain as an ISP:
Zain inafaa katika Blackberry (Tshs 35,000/=) tu. Ninayo Blackberry 9000 Bold na service ni nzuri kwa kiasi chake! Lakini, services nyingine hawana tofauti na VodaCom. Ukitumia Blackberry kwa VodaCom hutotamani kurudia isipokuwa Zain. Kwa Blackberry hapo Zain wamefanikisha!

ISP wengine kama CATS-Net, iWay Africa n.k nitatoa feedback baadae kwani ndio bado natafuta connections zao ili niweze kutoa comment.

NB: Haya ni mawazo yangu kwani wengine yawezekana wanapata service tofauti na ninavyoipata. Nimekwishajaribu ISP hao juu na naweza kuwa na mawazo tofauti nikiwarudia mmoja baada ya mwingine kuangalia kama kuna mabadiliko yoyote.


yani mkuu kama ulikuwa mawazoni mwangu kwani uliyoongea kuhusu hawa isp ni sahihi kabisa nimebatika kutumia wote na nilivutiwa na matangazo ila nilijuta nikabaki ttcl ila kero zao nikama ulivyosema jamaa ni warasimu ukipata tatizo dogo utamaliza soli za viatu alafu awana uelewa unakuta unamweleza tatizo anakueleza vitu vingine mpaka unaanza kumfundisha
 
Aise i just joined jamii forums, nimefurahi kweli kuona wengine wapo kwenye quest for the perfect isp.

Ok mimi napenda kudownload heavy material ambayo one content inakuwa size ya 1gb to even 5gb. Mimi nipo Bol saivi :(. I read what you said about bol, ila sidhani kama wana limit speed because speed wanayo offer ni 256 kbps= 31,3 KB/s. Lakini highest download peak nimefika is 24kb/s which i think is because nakaa makongo juu..lol. Bol kwaiyo nimechagua simply because it is too expensive to download as much as i do with postpaid system. Natafuta any kind of broadband unlimited ambayo ita weza kuperform faster even at least 80kb/s itakuwa upgrade nzuri.

Pia niliaanza kutafuta international ISP's ambayo wanalipwa through VISA. The one i found is
mobility pass. This is their link http://www.mobilitypass.com/internet_access_coverage/Tanzania.html Sija settle kucalculate benefits zao in terms of prices compared to local isp's ila najua maxence utapenda kuingalia kidogo...lol:)

Tip for bol users:
Kama unakaa mbali unaweza kutumia mirrors kwenye modem yako ku boost signal. Mirrors zina channel hile signal to a narrow path na ukiweza kulenga vizuri utapata better signal. (This can be done for any antenna). Google ''parabolic reflectors'' upate idea nzuri zaidi of how they work.

What kind of download accelerators unatumiaga bwana maxence? Mimi natumia Tweak master saivi. Lakini difference yake haikuwa kubwa sana.
 
Aise i just joined jamii forums, nimefurahi kweli kuona wengine wapo kwenye quest for the perfect isp.

Ok mimi napenda kudownload heavy material ambayo one content inakuwa size ya 1gb to even 5gb. Mimi nipo Bol saivi :(. I read what you said about bol, ila sidhani kama wana limit speed because speed wanayo offer ni 256 kbps= 31,3 KB/s. Lakini highest download peak nimefika is 24kb/s which i think is because nakaa makongo juu..lol. Bol kwaiyo nimechagua simply because it is too expensive to download as much as i do with postpaid system. Natafuta any kind of broadband unlimited ambayo ita weza kuperform faster even at least 80kb/s itakuwa upgrade nzuri.

Pia niliaanza kutafuta international ISP's ambayo wanalipwa through VISA. The one i found is
mobility pass. This is their link http://www.mobilitypass.com/internet_access_coverage/Tanzania.html Sija settle kucalculate benefits zao in terms of prices compared to local isp's ila najua maxence utapenda kuingalia kidogo...lol:)

Tip for bol users:
Kama unakaa mbali unaweza kutumia mirrors kwenye modem yako ku boost signal. Mirrors zina channel hile signal to a narrow path na ukiweza kulenga vizuri utapata better signal. (This can be done for any antenna). Google ''parabolic reflectors'' upate idea nzuri zaidi of how they work.

What kind of download accelerators unatumiaga bwana maxence? Mimi natumia Tweak master saivi. Lakini difference yake haikuwa kubwa sana.

Hiyo mobilityPass sahau kabisa, ni dialup so inabidi utumie landline kudial namba ya dar, maana yake inadidi ulipie charges za local call ya landline + charges zao za mtandao.

Angalia vodacom, nakumbuka walikuwa na unlimited ilikuwa kama laki nadhani, ila speed ndo sijui utapata ipi huko unapokaa, maana 3G ipo maeneo machache.
 
Kuna Zantel:
Hawa nimekuwa nao kwa muda sasa na mimi ni Postpaid Customer wao, hawa nao nalipia bundle ya 10GB kwa mwezi. Nimekuwa nikitumia service yao kwa zaidi ya miezi 6 sasa na naweza kusema pamoja na kuwa nilishakumbana na matatizo nao lakini mara zote wametoa ushirikiano wa karibu. Hawa download speed yao ni nzuri na kuna wakati inafikia 250kb/s. Kwa bundle hii ya 10GB, nanunua 1MB kwa Tshs 26/= na inakuwa ina VAT ndani yake. Haya matangazo wanayoweka barabarani na kudai wana UNLIMITED Internet service ni lugha ya kibiashara ambayo inamaanisha 3GB kwa 90,000/= wakiwa wamewa-target normal users. Kwa mtu kama mimi ambaye per month najikuta nina zaidi ya 20GB siwezi kukubaliwa kuwa na hiyo ya Tshs 90,000/= per month. Hawa ukikumbana na tatizo na service zao naweza hata kukusaidia endapo utakosa msaada wa haraka kwani modem zao nimezitumia karibia zote na kuna device ambayo ukiichukua kwao hata kama una PC 20 ofisini kwako bado unaweza kutumia modem moja kwa PC zote.

Tafadhali nielimishe kuhusu namna ya kujua nimetumia ama nimebakiza 'bundle' kiasi gani maana nilinununua ya 1GB kabla hata mwezi haujaisha wakadai ishaisha ila nikiangalia kile kisanduku chao cha Takwimu naona nimetumia 700MB tu!
 
Tafadhali nielimishe kuhusu namna ya kujua nimetumia ama nimebakiza 'bundle' kiasi gani maana nilinununua ya 1GB kabla hata mwezi haujaisha wakadai ishaisha ila nikiangalia kile kisanduku chao cha Takwimu naona nimetumia 700MB tu!

Inabidi uangalie Download + Upload ndo unapata Total uliyotumia. Hicho kisanduku sijui kinaonyesha nini. Pia kuna programs unaweza kutumia inahesabu matumizi yako.

http://www.simplehelp.net/2007/09/09/how-to-monitor-your-internet-bandwidth-usage-in-windows/
 
Inabidi uangalie Download + Upload ndo unapata Total uliyotumia. Hicho kisanduku sijui kinaonyesha nini. Pia kuna programs unaweza kutumia inahesabu matumizi yako.

http://www.simplehelp.net/2007/09/09/how-to-monitor-your-internet-bandwidth-usage-in-windows/

Asante, ngoja nicheki hiyo linki uliyotuma. Niliangalia download + upload na total yake ndio ilikuwa 700 MB ili nilipowapigia wakadai eti huko kwao wao wanaona nimeshatumia 1GB yote! Sisi nikawauliza nitajuaje matumizi yangu yanakwendaje kama takwimu zangu na zao hazilingani wakabaki wanababaika, eti nitumia simu ila simu inaonesha kiasi cha hela zilizobaki na sio kiasi cha Bytes zilizotumika. Mwingine akadai eti nizime automatic updates ili bytes ziziishe kwa kasi. Sasa naanza kuimiss BOL maana yenyewe japo ilikuwa haina kasi sana ila ilikuwa ni unlimited, unawasha computer muda wote na hela unalipia hiyo hiyo kwa mwezi!

P.S. Alafu ukiweka ya 200MB/Month ambayo ni Tsh 10,000 inaisha siku hiyo hiyo!
 
Kweli your right 'Kang' wanacharge local rates kwaiyo bado nimekwama. 3G naweza kupata because regularly natumiaga 3G ya zain kwenye huawei modem na speeds zinafika upto 200kb/s which is more than enough for me. Nitawapigia vodacom about the monthly service and speeds wanayo offer. Kama kuna any other speed based bundles please help out....
 
P.S. Alafu ukiweka ya 200MB/Month ambayo ni Tsh 10,000 inaisha siku hiyo hiyo!


Nilienroll kwenye package hii. huwa ninatumia kuanzia wiki moja hadi mbili kutegemeana na matumizi. Kama imeisha kwa siku moja labda matumizi yako ni makubwa.

Naungana na wewe jinsi ya kujua umetumia au kubakiza kiasi gani kwenye package.
 
Nilienroll kwenye package hii. huwa ninatumia kuanzia wiki moja hadi mbili kutegemeana na matumizi. Kama imeisha kwa siku moja labda matumizi yako ni makubwa.

Naungana na wewe jinsi ya kujua umetumia au kubakiza kiasi gani kwenye package.

Piga Star 775 Reli Kisha fuata Maelekezo
 
Nilienroll kwenye package hii. huwa ninatumia kuanzia wiki moja hadi mbili kutegemeana na matumizi. Kama imeisha kwa siku moja labda matumizi yako ni makubwa.

Naungana na wewe jinsi ya kujua umetumia au kubakiza kiasi gani kwenye package.

matumizi yangu ya kawaida tu - kusoma email na jamii forum takribani kila siku
 
Tafadhali nielimishe kuhusu namna ya kujua nimetumia ama nimebakiza 'bundle' kiasi gani maana nilinununua ya 1GB kabla hata mwezi haujaisha wakadai ishaisha ila nikiangalia kile kisanduku chao cha Takwimu naona nimetumia 700MB tu!

Mkuu mimi natumia zantel na yameshawahi kunikuta kama yako lakini baadaye nikagundua kwamba nilitumia moderm katika Computer zaidi ya Moja na zile Statistic hazina Mwendelezo yaani zinakuwa katika ile computer ulioitumia, sasa ukitaka correct stats inabidi ujumlishe stats katika computer zote ulizoconnect moderm

Ili kuepuka Ufumbufu nikanunua line nyingine ya Zantel kwa hiyo huwa naulizia Salio

Mkuu 200MB hailipi ni heri ununue 1 GB
 
Mkuu mimi natumia zantel na yameshawahi kunikuta kama yako lakini baadaye nikagundua kwamba nilitumia moderm katika Computer zaidi ya Moja na zile Statistic hazina Mwendelezo yaani zinakuwa katika ile computer ulioitumia, sasa ukitaka correct stats inabidi ujumlishe stats katika computer zote ulizoconnect moderm

Ili kuepuka Ufumbufu nikanunua line nyingine ya Zantel kwa hiyo huwa naulizia Salio

Mkuu 200MB hailipi ni heri ununue 1 GB

Mkuu nilinunua 1GB ikaisha baada ya wiki 2 ndio maana nikaanza kuweka hivyo vya 200MB wakati nafuatilia kwa nini Takwimu zinaonesha imekula 700MB ila wao wanadai nishakula 1GB, "ushanifahmu"?

Hiyo *755# inaeleza nimekula Bytes ngapi? Inatumika kwenye line ya Zantel tu? Sisi tusio na line ya Zantel inakuwaje?
 
Hiyo *755# inaeleza nimekula Bytes ngapi? Inatumika kwenye line ya Zantel tu? Sisi tusio na line ya Zantel inakuwaje?

Hiyo inaeleza salio la Bytes zako! Kama huna line ya Zantel inakuwa ngumu kaka na vile vile hata Bundle yako inapokaribia kwisha ina ku alert
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom