mapanga3
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 665
- 633
Bila shaka hakuna asiyetambua jinsi mambo yanavyokwenda ndani ya nchi hii, taarifa za migomo ya madactari ya mara kwa mara, migomo ya waalimu, malalamiko ya ugumu wa maisha kwa wananchi, ufisada wa hali ya juu, dhuluma, matendo ya kinyama wanayowafanyiwa wananchi wanaojaribu kutetea haki zao mfano Dr. Ulimboka, mapambano ya askari na raia wa tegeta haya yote na mangine mengi yanatoa tafsiri tofauti lakini swali langu kwenu wana jf, kuna haja ya kuwa na serikali ya namna hii au bora nchi ijiongoze yenyewe bila kuwa na kiongozi? Maana hapa naona serikali yetu n zaidi ya DHAIFU!