The hammer
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 2,381
- 1,760
Wakati nchi hii inapata uhuru haikuwa na vitu vingi vya kujivunia....Ila wakati wa uongozi wa Jk.Nyerere nchi ilijitahidi kujenga huduma nyingi za kijamii kama
1:hospitali zote za mikoa na wilaya tunazoziona leo hii
2:Shule za msingi na sekondari na vyuo vya elimu ya juu,veta na vinginevyo...
3:Ujenzi wa barara mpya,ofisi za serikali sehem mbalimbali
4:kuanzisha jeshi letu jipya...
5:Ujenzi wa viwanda
6:Miradi ya umeme na mawasiliano kama simu
unaweza endeleza orodha
Ila pamoja na serikali ya awam ya kwanza kujitahidi kufanya yote hayo,serikali zilizofuata zilishindwa na inaendelea kushindwa kutuletea vitu unique kama;
1:Miradi mikubwa ya umwagiliaji
2:Umeme wa uhakika usiotumia maji
3:Uwekaji wa vifaa vya kisasa kwa hospitali zilizopo ili tuache kupeleka watu India kwa zamu tukiacha wengine wakifa wakisubiri foleni
5:Uboreshaji wa huduma ya maji safi na taka mijini na vijijni
6:Upimwaji wa viwanja vya makazi,viwanda,kilimo na mifugo
7:Elimu bora
8:Uboreshaji wa ajira kwa vijana kupunguza tatizo la ajira na maslahi kwa wafanyakazi
9:Kuboresha mazingira ya uwekezaji wa viwanda na mauzo ya bidhaa za viwandani nje ya nchi
10:Kuboresha usalama wa wananchi wake si viongozi wa nchi tu,wananchi wanajilinda wenyewe mfano wa bidhaa hafifu zinazoongizw nchini si salama km simu,vykula na madawa nk
11:Utunzaji wa mazingira na mali asili za nchi
12:
13:
Endeleza......
TOFAUTI NI KUWA
1:HUDUMA ZA HOSPITALI NI KAMA ZA ZAMANI
2:HUDUMA YA UMEME SI YA UHAKIKA NA INAONEKANA NI ANASA KWA MWANANCHI WA KAWAIDA NA BAADHI YA MIKOA HAZIJAUNGANISHWA GRID YA TAIFA KM RUVUMA,RUKWA,KAGERA,KIKOMA N.K
3:BARABARA IMEJITAHIDI ILA SI KWA KIWANGO AMBACHO CHA KURIDHISHA KWANI MIKOA MINGI LAMI ZAKE NI VICHEKESHO
4:VIWANDA VINGI VILIVYOANZISHWA WAKATI HUO VIMEKUFA KM GENERAL TYRE,PHILIPS,TANELEC,NK
5:UJENZI HOLELA USIOPANGIKA NA SEHEMU ZA KILIMO,MAKAZI,NA UFUGAJI HAZIPIMWA.KILA MTU AJUE ATAKAPOJENGA
6:UTUNZAJI WA MAZINGIRA UMETUSHINDA KABISA.....
7:USALAMA WA MWANANCHI HAUPO KABISA
8:ELIMU IMESHUKA KWA KIASI KIKUBWA,LEO FORM 4 SI KAMA STD 7 MIAKA YA 80.
9:KILIMO NI SIFURI.
10:
11:Endelea
SERIKALI ZA AWAMU YA MWINYI-JK IMEJITAHIDI WAPI
1:KUUA VYOTE VILIVYOTAJWA HAPO JUU HIVYO MATUMAINI YA WATZ KUDIDIMIA KABISA
2:RUSHWA NA URASIMU VIMEONGEZEKA
3:MATABAKA TAWALA YANAJULIKANA NA WATWANA WANAJULIKANA
4:UJENZI WA SHULE ZA MSINGI NA SEC UNARIDHISHA
5:endelea(taja mazuri tu yaliyofanyika kwa awamu tatu)
Je serikali inajivuna kila siku kwa kuwadanganya wananchi wakati hakuna inachofanya rasilimali zetu zinaenda bure na haziboreshi lolote kwa Mtanzania tofauti na wakati wa Nyerere.....Wananchi tunabaki kudanganywa na elfu 30 wakati wa uchaguzi tena wanaofanya hivyo ni watu wazima(mshahara wa elfu 30 kwa miaka 5 hilo nililiona wazi tena wanafurahia kwa kusema ni wakati wao wa mavuno hao wanaojiita kamati kuu za wilaya ccm)
INAUMA SANA NCHI HII INATAFUNWA NA ITAISHA WANANCHI NDIPO TUTAKAJUTIA NA KUWAZA YASIYOWAZIKA
1:hospitali zote za mikoa na wilaya tunazoziona leo hii
2:Shule za msingi na sekondari na vyuo vya elimu ya juu,veta na vinginevyo...
3:Ujenzi wa barara mpya,ofisi za serikali sehem mbalimbali
4:kuanzisha jeshi letu jipya...
5:Ujenzi wa viwanda
6:Miradi ya umeme na mawasiliano kama simu
unaweza endeleza orodha
Ila pamoja na serikali ya awam ya kwanza kujitahidi kufanya yote hayo,serikali zilizofuata zilishindwa na inaendelea kushindwa kutuletea vitu unique kama;
1:Miradi mikubwa ya umwagiliaji
2:Umeme wa uhakika usiotumia maji
3:Uwekaji wa vifaa vya kisasa kwa hospitali zilizopo ili tuache kupeleka watu India kwa zamu tukiacha wengine wakifa wakisubiri foleni
5:Uboreshaji wa huduma ya maji safi na taka mijini na vijijni
6:Upimwaji wa viwanja vya makazi,viwanda,kilimo na mifugo
7:Elimu bora
8:Uboreshaji wa ajira kwa vijana kupunguza tatizo la ajira na maslahi kwa wafanyakazi
9:Kuboresha mazingira ya uwekezaji wa viwanda na mauzo ya bidhaa za viwandani nje ya nchi
10:Kuboresha usalama wa wananchi wake si viongozi wa nchi tu,wananchi wanajilinda wenyewe mfano wa bidhaa hafifu zinazoongizw nchini si salama km simu,vykula na madawa nk
11:Utunzaji wa mazingira na mali asili za nchi
12:
13:
Endeleza......
TOFAUTI NI KUWA
1:HUDUMA ZA HOSPITALI NI KAMA ZA ZAMANI
2:HUDUMA YA UMEME SI YA UHAKIKA NA INAONEKANA NI ANASA KWA MWANANCHI WA KAWAIDA NA BAADHI YA MIKOA HAZIJAUNGANISHWA GRID YA TAIFA KM RUVUMA,RUKWA,KAGERA,KIKOMA N.K
3:BARABARA IMEJITAHIDI ILA SI KWA KIWANGO AMBACHO CHA KURIDHISHA KWANI MIKOA MINGI LAMI ZAKE NI VICHEKESHO
4:VIWANDA VINGI VILIVYOANZISHWA WAKATI HUO VIMEKUFA KM GENERAL TYRE,PHILIPS,TANELEC,NK
5:UJENZI HOLELA USIOPANGIKA NA SEHEMU ZA KILIMO,MAKAZI,NA UFUGAJI HAZIPIMWA.KILA MTU AJUE ATAKAPOJENGA
6:UTUNZAJI WA MAZINGIRA UMETUSHINDA KABISA.....
7:USALAMA WA MWANANCHI HAUPO KABISA
8:ELIMU IMESHUKA KWA KIASI KIKUBWA,LEO FORM 4 SI KAMA STD 7 MIAKA YA 80.
9:KILIMO NI SIFURI.
10:
11:Endelea
SERIKALI ZA AWAMU YA MWINYI-JK IMEJITAHIDI WAPI
1:KUUA VYOTE VILIVYOTAJWA HAPO JUU HIVYO MATUMAINI YA WATZ KUDIDIMIA KABISA
2:RUSHWA NA URASIMU VIMEONGEZEKA
3:MATABAKA TAWALA YANAJULIKANA NA WATWANA WANAJULIKANA
4:UJENZI WA SHULE ZA MSINGI NA SEC UNARIDHISHA
5:endelea(taja mazuri tu yaliyofanyika kwa awamu tatu)
Je serikali inajivuna kila siku kwa kuwadanganya wananchi wakati hakuna inachofanya rasilimali zetu zinaenda bure na haziboreshi lolote kwa Mtanzania tofauti na wakati wa Nyerere.....Wananchi tunabaki kudanganywa na elfu 30 wakati wa uchaguzi tena wanaofanya hivyo ni watu wazima(mshahara wa elfu 30 kwa miaka 5 hilo nililiona wazi tena wanafurahia kwa kusema ni wakati wao wa mavuno hao wanaojiita kamati kuu za wilaya ccm)
INAUMA SANA NCHI HII INATAFUNWA NA ITAISHA WANANCHI NDIPO TUTAKAJUTIA NA KUWAZA YASIYOWAZIKA