Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,583
Huyu si marehemu? How did he make the list? I know he was very talented but I thought we were looking at the 10% who will be the driving force of Tanzanian development. Na Filbert Bayi is past his prime.
Muziki wa Mbaraka Mwinshehe ume influence wengi, umeburudisha wengi, umefariji wengi, na bado ujumbe katika nyimbo zake uko relevant leo hii.
Martin Luther King Jr ni marehemu lakini mmoja kati ya watu wanaoenziwa sana na kutolewa mifano katika mambo mbalimbali leo hii. Alichosimamia wakati wa uhai wake ni kanuni ambazo zitakuwa relevant milele na milele hata kama yeye keshakufa.