dabo kliki
Member
- Sep 19, 2012
- 47
- 5
Nimekuwa nafuatilia taarifa toka serikalini muda mrefu sasa kuwa kati ya nchi zilizowekeza hapa TZ nchi ya Uingereza ndo inaongoza ikifuatiwa na Kenya. Ni jambo zuri kupata wawekezaji japo Tz tumekuwa na bahati ya kupata wadekezwaji. Sasa naomba kujuzwa kwa mwenye kujua pasi na shaka ni kwenye sector ipi, miradi ipi, iko maeneo gani, na michango yake kwa taifa inayomilikiwa na Uingereza
Kuna siku utasikia hiyo miradi ni pamoja na Mbuga ya Serengeti, usishangae maana hii ndo Tanzani jamani. Pale TIC nilienda kwa lengo la kupata taarifa hizi ila nilipigwa dana dana na kuulizwa maswali menhgi kwanini nataka kujua na nk nk nk mwisho nikaambiwa mambo mengine ni siri ya serikali na wawekezaji aka. wadekezwaji. Ebu mwenye taarifa atiririke hapa jamvini
Kuna siku utasikia hiyo miradi ni pamoja na Mbuga ya Serengeti, usishangae maana hii ndo Tanzani jamani. Pale TIC nilienda kwa lengo la kupata taarifa hizi ila nilipigwa dana dana na kuulizwa maswali menhgi kwanini nataka kujua na nk nk nk mwisho nikaambiwa mambo mengine ni siri ya serikali na wawekezaji aka. wadekezwaji. Ebu mwenye taarifa atiririke hapa jamvini