Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
hawajanunua bali ni mkopo toka serikali ya CHINA. Lengo ni kudhibiti vituo vya matangazo vitavyovunja sheria za nchi yetu likiwemo la matangazo yatayohatarisha umoja wa nchi yetu, pia matangazo ya uchochezi na kutawala mawasiliano ya taifa kwani hakuna taifa lisilo na udhibiti wa anga na mawasiliano yake
NOTE
Naunga mkono ujio wa mitambo hii bali ni kuwa na matumizi mazuri yasiyopendelea upande wowote bali kitumike kuimarisha haki . matumizi ya mitambo hii ikitumika vibaya inaleta madhara makubwa ya taifa letu kwani utakuwa ni mwanzo wa kuzika uhuru wa vyombo vya habari na mawasiliano ya wananchi.
Kwenye red: Na kwa akili yako unaamini kabisa kwamba serikali ya magamba iko katika mstari wa mbele katika kutenda haki?
Pili: Kutokana na yaliyojiri kwa rada -- jee unafikiri ufisadi hakuna kabisa katika dili hii?