Ndugu wana jf leo nimemkuta jamaa mmoja ndani ya daladala ameshika kitabu kilichoandikwa na professor Rwekaza Mukandara kinakwenda kwa jina la From proud faces to beggers aisee nilipitisha macho kidogo kwenye kurasa kadhaa aisee ile ni balaa duuh!
Ingawaje huyu professor anahusishwa na CCM ila kiukweli ile ni kazi kubwa natamani wanaharakati wote kama Mwanakijiji, Slaa, Chahali, Ulimwengu, Ndimara, Mwangulumbi, Kubenea,Ngurumo, Matiya na wengine wengi wafanye yafuatayo;
Kwanza waipitie kwa umakini mkubwa
Pili watafsiri na kusambaza kazi hiyo
Tatu wajenge hoja kuhakikisha inatumika kwenye mtaala wa elimu wa primary, secondary na vyuo
Mimi nitaiandika pia kwa uwezo wangu
Nadhani hili likifanyika sasa watanzania watabaini jinsi nchi hii ilivyouzwa kinyemela kiasi kwamba kutoka enzi hizo Tanzania ikionekana mkereketwa wa harakati za uhuru barani Afrika kiasi kwamba mji wa Dar es salaam ukaanza kuitwa Maka ya Afrika mpaka leo hii tumegeuka ombaomba wa kutupwa kiasi kwamba tumebaki kusikiliza amri za mabwana wakubwa kutoka London, Newyork na Paris...Inasikitisha sana!
Ingawaje huyu professor anahusishwa na CCM ila kiukweli ile ni kazi kubwa natamani wanaharakati wote kama Mwanakijiji, Slaa, Chahali, Ulimwengu, Ndimara, Mwangulumbi, Kubenea,Ngurumo, Matiya na wengine wengi wafanye yafuatayo;
Kwanza waipitie kwa umakini mkubwa
Pili watafsiri na kusambaza kazi hiyo
Tatu wajenge hoja kuhakikisha inatumika kwenye mtaala wa elimu wa primary, secondary na vyuo
Mimi nitaiandika pia kwa uwezo wangu
Nadhani hili likifanyika sasa watanzania watabaini jinsi nchi hii ilivyouzwa kinyemela kiasi kwamba kutoka enzi hizo Tanzania ikionekana mkereketwa wa harakati za uhuru barani Afrika kiasi kwamba mji wa Dar es salaam ukaanza kuitwa Maka ya Afrika mpaka leo hii tumegeuka ombaomba wa kutupwa kiasi kwamba tumebaki kusikiliza amri za mabwana wakubwa kutoka London, Newyork na Paris...Inasikitisha sana!