Mapinduzi ya kijeshi hayajawahi kuleta neema popote, ila taabu tu. Subiri Rwanda mnayoisifia watakavyo chinjana pindi wahutu wakirudi, ni suala la muda tu na haitapita 20 yrs bila mapigano Rwanda.
haya yote ni marudio ya michango iliyotolewa hapa JF siku nyingi sana.