Watanzania Tunahitaji Kufanya MAOMBI makubwa sana Kumwomba MUNGU Aikomboe Nchi yetu, kwa kweli naona Tanzania Imekwisha.
Nikitazama Bunge natamani kulia, Nikiangalia Mahakama Siasa zimezidi katika maamuzi e.g. Mfano unaambiwa Ushahidi Takukuru Hakuna so Fisadi yuko Huru, Mh. Raisi wetu naye kufanya maamuzi magumu anashindwa, sielewi labda haoni matatizo ya Nchi au hayajui kabisa... yaani Tanzania Imekwisha.
Nikitazama Bunge natamani kulia, Nikiangalia Mahakama Siasa zimezidi katika maamuzi e.g. Mfano unaambiwa Ushahidi Takukuru Hakuna so Fisadi yuko Huru, Mh. Raisi wetu naye kufanya maamuzi magumu anashindwa, sielewi labda haoni matatizo ya Nchi au hayajui kabisa... yaani Tanzania Imekwisha.